Wadada wasiovaa makufuli!

Wadada wasiovaa makufuli!

Hapo sawa wewe unatafunika na mifupa kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wembamba ukizidi duu mmm na bonge naye mmm ila bonge unaweza fanya mazoezi ila wembamba mmm wanakula hao na sijui chakula kinaendaga wapi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wembamba ukizidi duu mmm na bonge naye mmm ila bonge unaweza fanya mazoezi ila wembamba mmm wanakula hao na sijui chakula kinaendaga wapi
Unatakiwa uwe na mwili wa size ya kati ukipakatwa unapakatika vizuri[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sawa nitajitahidi
Mie niliwahi ambiwa anza mazoezi nikasema sawa halafu nataka kuwa mwembamba kama fulani, jibu lake uingie nyumba ya nani mwili gani ule[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna kaka alikuwa hapendi mwanamke mwenye nido kubwa utazani kabeba zajirani sasa kilichokuja kumpata mwenyewe anashangaa kubwa kuzidi [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mkewe huyo anampeleka wapi!
Haahaa huo mtihani
Ayatafutie matumizi ili ayapende ubunifu ktk mahaba!
 
Haahaa huo mtihani
Ayatafutie matumizi ili ayapende ubunifu ktk mahaba!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] ukimuuliza anaguna eti mie nilikuwa nataka modo lakini huyo hapo anatizama na pembeni[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Mie niliwahi ambiwa anza mazoezi nikasema sawa halafu nataka kuwa mwembamba kama fulani, jibu lake uingie nyumba ya nani mwili gani ule[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ikabidi ujiachie tu
 
Back
Top Bottom