Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kitambi ninachoo ila mie ni mnene sana tu napia sijapigwa pasi na umbo langu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona raha kukusema rakha sana mamboooNime kukosea nini Tena, ewe Binti Maua 🤒
Nika jua una nichukia😂🤣Naona raha kukusema rakha sana mambooo
Kwanini zamani sawa ila sasa hapanaNika jua una nichukia😂🤣
Sawa Binti Maua 🤒Kwanini zamani sawa ila sasa hapana
Bila picha mkuu🤓😊Habari za jioni wanajamvi
Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje 🤔🤔.
Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒.. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.
Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia gym sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..
Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.
Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani🧐
Nimemaliza....
IPO barabarani🤣😁Bila picha mkuu🤓😊
Hapa duniani Kuna mdada aliwai kunipenda akazama kwenye dimbwi la mahaba akapotelea humo.........................IPO barabarani🤣😁
😊🤓😊 picha muhimuuJamani si mumeelewa lakini 😂😂😂😂🧐
Ili mradi umeniambia nitulie kweli natulia mambo mazuri hayataki haraka 😄tulia kwanza wewe 🤓😂😂😂
Ufanye kweli sasa 😄😋Yeah 😊😊👊
Namuita Lenie njoo tumeambiwa tuna vitambii na huyu jamaa .Sawa Binti Maua 🤒