Wadada wembamba vitambi mnavitoa wapi?

Bila picha mkuuπŸ€“πŸ˜Š
 
IPO barabarani🀣😁
Hapa duniani Kuna mdada aliwai kunipenda akazama kwenye dimbwi la mahaba akapotelea humo.........................

Dada wa kikurya sura ya baba mweusi kama mkaa ila ana bonge la shepu na yupo classic......

am 4 real napenda hio midomo yako na hayo macho yako your so handsome...

Kipindi Cha uchumba na Huyu wife WANGU siku Moja tukiwa Kwa dating akaja jua na side chick huyo black akawa ananicheka na kuniponda nimechagua demu kama mkaa πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi hoi hoi......huyo mdada ni Moja ya viumbe hapa duniani akili zetu zili click aisee way back πŸ”™ πŸ”™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…