Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pokea sifa zako mapemaawapi😃😃😃🙌
Kuanzia sasa kila post/comment yako ujue naifatilia, uje selfika basi😊Haya bhana😃😃🙌
Mi' nitaanza ku-like kila post na reaction yakeKuanzia sasa kila post/comment yako ujue naifatilia, uje selfika basi😊
Mkuu huyu mtoto ni mrembo ila watu hawajui tuMi' nitaanza ku-like kila post na reaction yake
Mwandiko wake unasadifu yaliomo, kama angekuwa haja-lock PM tungeenda kumpa hi! 😂😂😂Mkuu huyu mtoto ni mrembo ila watu hawajui tu
Mkuu nakuachia useme nae utanipa report🙌Mwandiko wake unasadifu yaliomo, kama angekuwa haja-lock PM tungeenda kumpa hi! 😂😂😂
Usihofu kwa jinsi alivyo na moyo wakutoa likes na reaction nadhani hata moyo wake ni mweupe kabisa...guessing 😂😂😂Mkuu nakuachia useme nae utanipa report🙌
Usikate tamaa safari ya PM uwa inaanzia hapa kwenye comments😅Usihofu kwa jinsi alivyo na moyo wakutoa likes na reaction nadhani hata moyo wake ni mweupe kabisa...guessing 😂😂😂
Hapo inabidi ufunge tumbo na mnatiMie na demu wangu sote tuna vitambi,sasa shughuli tukilaliana, vitumbo vinagusana, halafu VIKOJOLEO vinakosa gravitational force 🤣
Ametoa mtazamo tu, mbona na wewe ume-catch kwa haraka sana?Hivi inakuaje mtu unakereka na mambo binafsi ya watu??
Haiwezekani bana ungepost pic wangedata wote paleHuko selfika nlishindwa kabisa😃😃😃
Hahaha nimekuachia mkuu, msg zinaenda kweli?Mkuu vipi si ulisema unaniachia nije kukupa mrejesho, mi' meseji hazijibiwi huko PM unamuweka bize mrembo wetu Leejay49 🥰