Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Ha haaaa aisee bora umezidi kunihakikishia maana hata mimi nilikuwa nahisi hivyo.ningeshangaa sana kama nokia83 asinge-comment kwenye huu Uzi, jamaa anapenda tigo za wadada ni balaa demi
Mambo yako haya[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha haaaa aisee bora umezidi kunihakikishia maana hata mimi nilikuwa nahisi hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba mkuu nimiliki mgodi jumlaHuyo demu mkuu ni msafi balaa....halaf ni toto la kichaga
Mmmmh basi ni wajinga sana, na kwa mwanaume anaekupenda hawezi kamwe kukufanyia hivyo.Mtoa tigo=Mla tigo= upungufu wa akili.
Ila serious hii kitu inashika kasi sana,, yaan hata wadada wenyewe kwenyr magroup ya wasap, wanadanganyana et mwanamme ukimpa tigo umemteka[emoji23][emoji23]
Acha huo mchezo dushe yako itaziba ngoja uzae mtoto wa kike huoni kinyaa, mhhhhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante Kwa hii nafasi...Madhara yake ni haya yafuatayo;
1:Inaleta kansa ya makalio kwa mtendewa. Hii ni ngumu kupona na mateso pamoja na maumivu yake ni makubwa sana.
2:Kuziba kwa mirija ya kupitisha haja ndogo kwa mtenda. Hii itakusababishia usumbufu wa kupigwa bomba ambapo huleta maumivu pia.
3:Kulegea kwa misuli kwa mtendewa, hii ni kwa sababu ile njia ya haja kubwa imetengenezwa kwa ajili ya kutoa kitu nje na si kuingiza ndani.
4:Kupata matatizo wakati wa kujifungua kwa mtendewa, sababu milango yote inakuwa wazi hivyo kumpa shida mtoto wakati wa kutoka.
5:Kupungukiwa nguvu za kiume kwa mtenda na kupata msongo wa mawazo.
Wapenda tigo wote wanaongoza kwa kukosa furaha.
Sent using Jamii Forums mobile app