Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Huu ufirauni mnavyozidi kuujadili ndiyo mnazidi kuueneza, mtawafanya wale ambao hawakuwahi kuujaribu wanavyousikia wajaribu nao.
Muhimu ni kuupigia kimya tu, wanaoanza humo mwisho wake wanakuja kuingilia hadi machoko. Kimtindo huu hii vita hatutoiweza
Mada juu ya ufirauni huu ni kuzipigia kimya, kuendelea kuzijadili ni kufanya watu wazidi kuufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhimu ni kuupigia kimya tu, wanaoanza humo mwisho wake wanakuja kuingilia hadi machoko. Kimtindo huu hii vita hatutoiweza
Mada juu ya ufirauni huu ni kuzipigia kimya, kuendelea kuzijadili ni kufanya watu wazidi kuufanya
Sent using Jamii Forums mobile app