Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wewe utakuwa mgonjwa wa fikra

Tajiri anafedha teyari, kwake sio kipaumbele shida yake umtoe muwasho baasi

Maskini hanafedha, kujitokedha kwako, kweke ahuweni anakuona fursa.....hana fedha
Kwani masikini hawana miwasho mkuu
 
Tukiacha kuwatongoza nyie si huwa mnashinda kwa waganga kwa waganga kutuvuta kichawi

Natongoza wenye pesa kwa sababu wana mapenz ya kweli

Njaa zako sitak kuzisikia
aiseee me mwenyewe sitaki kusikia n jaaa zako kasake pesa kwanza.
 
videm choka mbaya utavijua tu, povu limewajaa kama wanaumwa kifafa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
afu vina majina mazuriii kumbe mbwanda kala mbwanda.
 
Hahaaaaaa njaa zitawauwa nyie dada zetu

Tafuten za kwenu
Sasa mie dada nitafute za kwangu napata wapi muda wa kumuhudumia mume wangu??mie namuacha mume wangu aendelee kutafuta aniletee.

Kazi kwenu wavulana wapenda bure bure,dezo dezo...pre caution nayowapa mtaolewa kwa kupenda kupewa vya bure. Take it or leave it itakusaidia maishani.
 
Hapana sister mimi siwez kuwa na mwanamke mnuka wigi, mikojo na aliyenuka shida
Mbona kwenye mada umewaongelea kuwa ulikuwa nao na wakawa wanakuomba pesa kila siku? Na umetoka kuniambia kuwa umecho msg kila siku za kuombwa pesa!!! Au ulikuwa unaota tu mdogo wangu?
 
Tukiacha kuwatongoza nyie si huwa mnashinda kwa waganga kwa waganga kutuvuta kichawi

Natongoza wenye pesa kwa sababu wana mapenz ya kweli

Njaa zako sitak kuzisikia
Hivi kuna mtu anakuendea wewe kwa mganga?!!!! Wakati huo anafata nini huko? Maana ela ya kuhonga huna,akakuroge apate nini kama sio kujitia nuksi??
 
Mkuu wewe huoni japo vijiaibu kusifia wenye mapenzi ya dhati haliyakuwa mwenyewe panya road wa mapenzi

Wengi tunahangaika kuwatafuta wenye mapanzi ya dhati sasa kama umewapata na bado ukafikisha mpaka 22 wenye mapenzi ya dhati ulikuwa unafuta nini tena
Mimi nikimpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati nitajenga kibanda mpaka atajuta kwa nn alichelewa kukutana na mm
Utoto tu, akikua ataacha.
 
Ungekuwa na ela usinge tafuta watoto wa matajiri wewe..nenda kafanye kazi,wavulana mna njaa sana siku hizi. Linganisha rates zako za hao unaowaita watoto wa matajiri ndio utagundua njaa kali kwako.
Acha uMariooo
Mimi nina pesa ndo maana naenda kwa wenye pesa so nikikutana wasichana wenye njaa kamaa huwa nawapiga mikas na kusepa
 
32 ? Duh hongera sana ukishea nao kiungo chako hicho kwa wote hao unajiskiaje ..
So it means kwa miaka yako hio 20+ wewe ukifika 30 ama 40 pengine unakua umeshaoa nguvu zako zitakua zinaanza kupukutika kama majani, mana nguvu nyngi unazitumia miaka hii so that means wew mkeo hautamridhisha kwa kifupi tu sababu nguvu zako zote umemalizia ujanani
Bora uongee wewe mwanaume labda wanaweza kukuelewa, maana sie mama zao hawatuelewi kabisa. Akina baba jamani hebu kujeni tuokoe hikikizazi chetu.
 
Mimi nina pesa ndo maana naenda kwa wenye pesa so nikikutana wasichana wenye njaa kamaa huwa nawapiga mikas na kusepa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wenye pesa wanajisema!!!!hivi wewe uwe na pesa kutwa kucha unashinda jf kuandika uzi unapata wapi time for production kama sio ela za kuhongwa????
 
Uzuri ni kwamba kuweka mgomo hamuwezi kabisa. Kwahiyo 'baby' pambana tu na uanaume wako. Huo ndio uanaume sasa.

Tulichonacho ndicho hicho hicho kutwa manakililia na kukifungulia thread.
Hapa hakuna anayelia lia

Nimeamua kuliweka waz hili tatizo ili likome

Dunia nzima ijue wadada wa tanzania ni omba omba wamefanya papuch kama mtaji
 
Umeona sasa. Huyu na mwenzie ni mariooo mie nasema toka mwanzo. Hawa wamezoea vya bure bure hawa.
Wanaume wanaojua kutafuta wanamuda wa kulalamika wametoa sh ngapi kwa wanawake zao!!!!hata siku moja hamna,mariooo sasa,na uzo wanafungua
Ukute mwanafunzi mwenzie alimuomba vocha ya buku basi ndio kapanik.
Watulie tu wawe wanaume, lasivyo kulia lia huku wataolewa wajiunge na akina kaoge.
 
Aiseee ila wanasema asiyefunzwa na ***** hufunzwa na walimwengu ngoja tuanze kumfunza kidogo kidogo
Taratibu tu wataelewa, ashakuwa jukumu la ulimwengu huyu tutafanyaje sasa!!!
 
Back
Top Bottom