Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unajitekenya na kucheka mwenyewe mariooo. Pambana tu mdogo wangu,ukihangaika na watoto wa matajiri unaolewa siku si nyingimimi sio mario nimekujibu ushuzi kwa kuleta topic ya kiushuzi ushuzi. ustoke nje ya mada fanya kazi tafuta hela zako acha kuombaomba ka matonya [emoji4]
Nilichogundua mpaka dakika hii tunabishana na watoto ambao na wao pia wanataka kulelewa hivyo hawawezi tuelewaHapo amepaniki mpaka anashindwa kujizuia. Chedhea mtu aguse ukweli
Malezi mama, kuna mahali tunakosea sana kwenye malezi ya hawa watoto wetu, ndio maana hawathamini hata mama zao. Ila sasa ndio ashakuwa mtoto wa jamii twende nao taratibu tu wataelewa.Sasa mambo ya mama yamefikaje hapa?Mbona mnakosa adabu nyie watoto?
Nataka nikutunze mtt mzuriKibonge mie nina matata unadhani. At least ume declare umarioooo.
Lakini kama unajijua wewe marioo,basi huna tofauti na wadada wanaoomba ela wakifanya mapenzu na wapenzi wao.
Tofauti tu wao wanafanywa na wewe unafanya,tuliza mshono.
Uwe na amani sasa mariooo.
Umeona sasa. Huyu na mwenzie ni mariooo mie nasema toka mwanzo. Hawa wamezoea vya bure bure hawa.Kumbe dogo umeolewa!!!
Basi nisamehe kwa kukujibu awali, kosa sio lako.
Ishia huko huko maana mie sina hela za kukuhongaHujui pm tunakujaga kufanyeje
Afadhali umeshanielewa katika hilo. Hawa wapenda bure bure tuwaache kama walivyoNilichogundua mpaka dakika hii tunabishana na watoto ambao na wao pia wanataka kulelewa hivyo hawawezi tuelewa
Aiseee ila wanasema asiyefunzwa na ***** hufunzwa na walimwengu ngoja tuanze kumfunza kidogo kidogoMalezi mama, kuna mahali tunakosea sana kwenye malezi ya hawa watoto wetu, ndio maana hawathamini hata mama zao. Ila sasa ndio ashakuwa mtoto wa jamii twende nao taratibu tu wataelewa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukweli haujawahi muacha mtu salama. Pambana mdogo wangu. Baby boy
Tukiacha kuwatongoza nyie si huwa mnashinda kwa waganga kwa waganga kutuvuta kichawiacha kutongoza mpaka upate mkwanja dogo....hakuna vya bule...wewe mwenyewe njaaaa ndo mana unatafuta wenye hela.
Sasa pesa huna alafu unataka kupendwa kwa dhati kweli!!! Hebu tafuta pesa kwanza. Ila subiri kwanza, wewe hebu hangaika na masomo kwanza mdogo wangu,haya mambo unayoyaparamia yamekuzidi uwezo ndio maana unaona unalialia. Haya mambo yapo tu,hebu soma kwanza kwa sasa. Sawa mtoto mzuri?!!Ndo hivyo mkuu nimejitoa mhanga kiongoz
Wamenichosha mkuu kutwa vimeseji vya kuomba pesa utazan sisi ndo wazaz wao
Kaz kufanya hawatak ukiwachana ukweli wanatokwa povu
Tuendelee kuwapa somo kuna siku watatuelewaAfadhali umeshanielewa katika hilo. Hawa wapenda bure bure tuwaache kama walivyo