Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Msichoke jamani ndio uanaume huo. Na hapo ndio mwanzo tu mdogo wangu, yaani bado ndio asubuhi. Hivyo anza kujiandaa kisaikolojia kabisa.
Hapana sister mimi siwez kuwa na mwanamke mnuka wigi, mikojo na aliyenuka shida
 
mimi sio mario nimekujibu ushuzi kwa kuleta topic ya kiushuzi ushuzi. ustoke nje ya mada fanya kazi tafuta hela zako acha kuombaomba ka matonya [emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unajitekenya na kucheka mwenyewe mariooo. Pambana tu mdogo wangu,ukihangaika na watoto wa matajiri unaolewa siku si nyingi
 
Mkuu wewe huoni japo vijiaibu kusifia wenye mapenzi ya dhati haliyakuwa mwenyewe panya road wa mapenzi

Wengi tunahangaika kuwatafuta wenye mapanzi ya dhati sasa kama umewapata na bado ukafikisha mpaka 22 wenye mapenzi ya dhati ulikuwa unafuta nini tena
Mimi nikimpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati nitajenga kibanda mpaka atajuta kwa nn alichelewa kukutana na mm
 
32 ? Duh hongera sana ukishea nao kiungo chako hicho kwa wote hao unajiskiaje ..
So it means kwa miaka yako hio 20+ wewe ukifika 30 ama 40 pengine unakua umeshaoa nguvu zako zitakua zinaanza kupukutika kama majani, mana nguvu nyngi unazitumia miaka hii so that means wew mkeo hautamridhisha kwa kifupi tu sababu nguvu zako zote umemalizia ujanani
 
Kibonge mie nina matata unadhani. At least ume declare umarioooo.
Lakini kama unajijua wewe marioo,basi huna tofauti na wadada wanaoomba ela wakifanya mapenzu na wapenzi wao.
Tofauti tu wao wanafanywa na wewe unafanya,tuliza mshono.
Uwe na amani sasa mariooo.
Nataka nikutunze mtt mzuri
 
Kumbe dogo umeolewa!!!
Basi nisamehe kwa kukujibu awali, kosa sio lako.
Umeona sasa. Huyu na mwenzie ni mariooo mie nasema toka mwanzo. Hawa wamezoea vya bure bure hawa.
Wanaume wanaojua kutafuta wanamuda wa kulalamika wametoa sh ngapi kwa wanawake zao!!!!hata siku moja hamna,mariooo sasa,na uzo wanafungua
 
Toka lini mwanaume akajiita baby...nyie mmezoea vitonga hamna lolote. Ndio muache kupenda vitonga,mtaolewa
tapatalk_1505245758666.jpeg
 
Malezi mama, kuna mahali tunakosea sana kwenye malezi ya hawa watoto wetu, ndio maana hawathamini hata mama zao. Ila sasa ndio ashakuwa mtoto wa jamii twende nao taratibu tu wataelewa.
Aiseee ila wanasema asiyefunzwa na ***** hufunzwa na walimwengu ngoja tuanze kumfunza kidogo kidogo
 
acha kutongoza mpaka upate mkwanja dogo....hakuna vya bule...wewe mwenyewe njaaaa ndo mana unatafuta wenye hela.
Tukiacha kuwatongoza nyie si huwa mnashinda kwa waganga kwa waganga kutuvuta kichawi

Natongoza wenye pesa kwa sababu wana mapenz ya kweli

Njaa zako sitak kuzisikia
 
Ndo hivyo mkuu nimejitoa mhanga kiongoz

Wamenichosha mkuu kutwa vimeseji vya kuomba pesa utazan sisi ndo wazaz wao

Kaz kufanya hawatak ukiwachana ukweli wanatokwa povu
Sasa pesa huna alafu unataka kupendwa kwa dhati kweli!!! Hebu tafuta pesa kwanza. Ila subiri kwanza, wewe hebu hangaika na masomo kwanza mdogo wangu,haya mambo unayoyaparamia yamekuzidi uwezo ndio maana unaona unalialia. Haya mambo yapo tu,hebu soma kwanza kwa sasa. Sawa mtoto mzuri?!!
 
Back
Top Bottom