Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

We jamaa VP ungekuwa ww upewe kazi bila malipo ungejisikiaje acha kuwachambua mademu zako,au kwa sababu huna pesa ya kuwapa?usiwanenee mabaya cyo vyema
mkuu unasema nipewe kaz bila malipo kwahiyo mademu wakijaga gheto kupigwa miti hiyo ndo kaz yao
 
Umri wap sister njaa zitawaua nyie wavaa mawigi ya kunuka

Wambie na wenzako tumechoka na njaa njaa zenu

Sisi sio wazazi wenu
Msichoke jamani ndio uanaume huo. Na hapo ndio mwanzo tu mdogo wangu, yaani bado ndio asubuhi. Hivyo anza kujiandaa kisaikolojia kabisa.
 
UMASKIN WAKO NDO UNA MAPENZI YA DHATI!
sio UTAJIRI WAO!
 
Marioooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupenda bure bure,mtaolewa. Kama unapenda sana ela sema utafutiwe bwana.
Hela siye tunazo za kwetu na nyie tafuten za kwenu muache uomba omba
 
Back
Top Bottom