Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Madem akili zao bhuana ukimtongoza anakuwa n wazazi ukisha kuwa nae tu galfa anageuka yatima mara hana viatu hana kodi ya nyumba hana nguo

Upande wa pil wanaume timizen majukumu usigope kufilisika ila endapo mtoto n mzur cha mwisho km humpendi mtu usimpotezee muda wake
we jikute unaelewa majukumu yao ile kwako. wanawake wasio ombaomba wapo wengi tu mkuu acha kujiumiza, zungukazunguka utakutana nao wanaojielewa.
 
hatutaki kuhongwa na hatutaki kuhonga. huwezi kunielewa kwasababu akili zako ni nzito kama mwili wako. vibonge bwana [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Marioooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupenda bure bure,mtaolewa. Kama unapenda sana ela sema utafutiwe bwana.
 
watu wazima wenyewe wanachepuka kwahivo umri sio solution. tumezaliwa kuwagonga tunaoa kutimiza wajibu ila mgongo uko palepale.
ila mada ni kwamba mmekua ombaomba. hatutaki hio.

Sasa mnaposema mapenzi ya dhati mnatumia akili au matope

Wao wawe wakweli kuwaridhisha matapeli wa mapenzi.

Very silly
 
hakuna anaependa kutunzwa hapa mi nna pesa zangu na wewe tafuta zako, kilichotukutanisha ni nyge basi tuishie hapohapo kwenye nyge shida peleka kwa babaako.
na hayo mashuka kaleta mwenyewe sisi hatunaga shobo za kuomba.
narudia tena, kilichotukutanisha ni viungo hivi [emoji111] viwili tu, zaidi ya hapo kila mtu apambane na hali yake hakuna mteremko sku hizi na hakuna malipo baada ya sex kana kwamba nyie mnauza hio kitu.
shida hukooo kwa babaako.
axaantee mkuu...umejibu kwa munkari....umenijibia mimi na wanaume wotee
 
Hapana naye hakuombi kila SIKU ,ila ikitokea ana shida MPE ,labda uwe Malaya kama umempenda utafanya chochote kwa ajili ya kumlinda ,shida mapenzi ya kweli ndyo unakuwa huna
hiyo ni kweli..kusaidiana....ila mkuu kuna watu kwenye kuomba hela ni hatar...yani unaweza kits jumla jumla yake kwa mwez kama alikua kavunja vicoba vile
Hata wale wasio na pesa wanamapenzi ya kweli, sema tu ugumu wa maisha unafanya hata waigize kwenye mapenzi kwa wanaume wenye pesa , lakini mwisho wa siku wanakuwa na wanao wapenda , mwenye pesa anaachwa solemba
 
10d4560cbe94f671b059d374bc5e6144.jpg

79688887ddea7ccf8f62288e089b430d.jpg

ati type hizi nao wanaomba hela [emoji30] [emoji30] [emoji30]
tena type izi unakuta ana mashauZI atar..anajigeuza geuza kama joka la mdimu......buulshiit....
 
[QUOTE="Qassim14,
Nakuunga mkono mkuu kwa kiasi kikubwa. Kwa maelezo yako ni dhahiri kuwa mtoa mada hana mapenzi ya dhati. Nikukumbushe tu kwamba hata kwenye kufariji na kujali pesa inahitajika kama ipo. Hii ni kwa sababu faraja bora ni ile ambayo mfariji amebeba uzito wa kuwa mfumbuzi wa tatizo kwa kadiri anavyoweza. Kama mtoto wa watu anashida inabidi akueleze ili apate faraja, we unaona anataka pesa wakati kweli shida anazo na wewe ulimwambia unampenda , waweza vipi kumpenda mtu huku wakimbia shida zake. Hukumbuki kwamba ulimfuata mwenyewe kumwambia unampenda, apate wapi faraja kama si kwako. Ukipenda tunda penda na ua lake, kadhalika ukipenda binti penda na shida zake kama zipo. Samahani Mkuu,hii namwambia mleta mada kwamba ataendelea kuambiwa shida kila zinapokuwapo. Hata hao wa kishua wakiwa na shida watamwambia.
 
Madem akili zao bhuana ukimtongoza anakuwa n wazazi ukisha kuwa nae tu galfa anageuka yatima mara hana viatu hana kodi ya nyumba hana nguo

Upande wa pil wanaume timizen majukumu usigope kufilisika ila endapo mtoto n mzur cha mwisho km humpendi mtu usimpotezee muda wake
Ukishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.
 
Ukweli ni kwamba kuwa na mahusiano mwanamke asiyejishughulisha ni shida kubwa,mwanamke hata chupi hawezi kujinunulia wa nini sasa huyo?mwanamke matonya kwangu hana nafasi nataka mwanamke mwenye future, sio mwanamke wa salon tuu kila saa kuweka mawigi na mikucha ya bandia.sometime muwe mnajielewa basi jaman tunataka wanawake wenye malengo.
Asante sana mkuu na hao mademu wasiojishulisha ndo wavaa mavigi ya kunuka nuka na mikucha kama jini
 
Back
Top Bottom