Quaresma Fai
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 590
- 630
Tatizo hapa ni tafsiri ya neno 'mapenzi ya dhati'. Ni mapenzi gani ambayo watu hawashirikishani shida na raha? Nakuona wewe ndo huna mapenzi ya dhati! Tena unatudhalilisha wanaume...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]wamezoea kuhongwa hao. Waoe wafe njaa,watawalisha nini wake zao???Nyinyi vijana acheni utapeli
Mapenzi ya dhati wala hamuelewi maana halisi
Badala ya kulegeza muowe if at all mnamaanisha
Huo ni upuuzi wa kijinga eti ya dhati......kivipi?
Kafunge doa
Wao wenyewe marioo kibao wanatembelea kitonga tu...Hebu subiri, shida yako mapenzi ya dhati au kuombwa pesa? Kuombwa pesa hakuhusiani na mapenzi ya dhati. Maana anaweza asikuombe pesa na akawa hana mapenzi ya dhati na wewe kabisa!!
Dogo umechanganya mambo hapo, ungesema hivi "wanawake masikini wanaomba sana pesa kuliko wanawake matajiri"
Hebu subiri kwanza , ulivyomtolea mfano SakayoMkuu inawezekana ikawa kweli...ila
Inategemea ni Kiwango gani cha Utajiri na Umaskini unaouzungumzia....
An Average Woman anaejielewa na Mwenye MAONO (Vision) Kama
Sakayo
Hawezi kufanya hivyo....anathamini mwili wake na utu...anajua thamani yake...though mambo ya Pesa ni subjective....yaani ni Mtambuka...mwanamke anaejitambua hawezi kukupa mwili wake in Exchange of Money labda yule malaya na Anaetafuta pesa kwa kutumia mwili wake na kama hana means nyingine ya kumuingizia kipato...
kuna Issue ya maradhi,kuchezea uke wake....Na unakuta hafurahii tendo zaidi ya kukuambia nipe changu...
salute
[URL='https://www.jamiiforums.com/members/jitu-jeusi.333072/']Sakayo[/URL]
https://www.jamiiforums.com/members/jitu-jeusi.333072/
Hivi wewe ukimvua huwa unavaa ya kwako?Hatujielewi sasa kwa nini kutwa tunawavua vyupi?
Shida yenu nimegundua mnapenda kutunzwa, nahis hawa wamama watu wazima wamewaharibu kabisa[emoji85]siwaelewagi madem wa hivyo, dem wa kishua anakuletea hadi mashuka mapya, siku nyingine na mboga kabisa anakuja nayo ili mpike. sasa hawa akina mwajuma ndalandefu sasa, vikija vinakaa kitandani kupika havitaki vinataka ukavinunulie chipsi mayai.
pumbaf sana.
Sasa wewe hata kuandika hujui una shughuli kweli?Kunamoja alitaka kuniretea magojwa ya moyo akianza tu sms nikwambie kitu juwa bom hiro harafu huwa wanajisahau sana paka unakuta mda wotee anazungumzia shida zake tu kuriko mapenzi wakati mwingine unamkubaria ili avuwe chupi umrambe vi 2 asepe nashida zake mbere kwa mbere madem masikini pasuwa kichwa kiujumla wanawake wasio nashuguri sio atakuzeesha
wewe komaa na hio topic yako ya super mario ila ukija magetoni utagongwa tu na kusepa. shida kamtangazie babaako.Povuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marioo hamnaga kazi zaidi ya kupiga show muhongwe na mademu zenu,then mpige kelele msihonge mlichohongwa.
Yaani wanaume wapiga porojo dezaon zenu hizi hamnaga kitu mpaka mhongw,hamnaga jeuri mjino hapa porojo tupu na kukandia wanawake
Marioo mna kazi nyinyiiii. Hataricious
hakuna anaependa kutunzwa hapa mi nna pesa zangu na wewe tafuta zako, kilichotukutanisha ni nyge basi tuishie hapohapo kwenye nyge shida peleka kwa babaako.Shida yenu nimegundua mnapenda kutunzwa, nahis hawa wamama watu wazima wamewaharibu kabisa[emoji85]
Alete mashuka amekuwa mzazi wako?
Muwe mnajiongeza kiduchu[emoji87]
Mkikua mtaelewa dogo, so umri unakuruhusu. Ombea tu balehe isije pitiliza utakuwa sio hasara kwa familia yako tu bali kwa taifa kwa ujumla.mi naona wewe ndo hujielewi unaesoma kila siku topics za boys humu na bado unakubali kubanduliwa angali wajua sisi ni wapigaji tu.
Umri dogo umri, kwasasa huwezi kunielewa. Utaelewa tu usijali.Asiye jielewa hawez kukuvua nguo za ndan aisee huo ni uongo wa waz waz
upo nje ya mada. njaa peleka kwenu hapa tunatimiziana haja tu. mnakua ombaooomba.Mkikua mtaelewa dogo, so umri unakuruhusu. Ombea tu balehe isije pitiliza utakuwa sio hasara kwa familia yako tu bali kwa taifa kwa ujumla.
hamna maswala ya umri hamtaki kujishughulisha mnategemea papa iwavalishe iwalishe. unagongwa unatupwa.Umri fogo umri, kwasasa huwezi kunielewa. Utaelewa tu usijali.
Tatizo umri, hawa wavulana hawawezi kukuelewa kwa sasa. Hebu rudi baada ya miaka kama kumi hivi maybe mtaelewana.Nyinyi vijana acheni utapeli
Mapenzi ya dhati wala hamuelewi maana halisi
Badala ya kulegeza muowe if at all mnamaanisha
Huo ni upuuzi wa kijinga eti ya dhati......kivipi?
Kafunge doa
watu wazima wenyewe wanachepuka kwahivo umri sio solution. tumezaliwa kuwagonga tunaoa kutimiza wajibu ila mgongo uko palepale.Tatizo umei, hawa wavulana hawawezi kukuelewa kwa sasa. Hebu rudi baada ya miaka kama kumi hivi maybe mtaelewana.