T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba najifu inawezekana unaesema hapa mimi sina shuguri mshahara wako ndoo nao lipa vibaruwa wanyumbani kwanguSasa wewe hata kuandika hujui una shughuli kweli?
Ndege wafananao huruka pamoja, huwez kuwa una shughuli kutwa ukutane na wasio na shughuli
Niwaambie kitu itawasidia wanaume, "never complain about women again, if you find valueless leave her and she will find of her type" mnapoteza nguvu zenu nyingi bila mafanikio
Wkt mwingine najiambia kuna baadhi ya wanaume hawajui wanachotaka[emoji85]
Nigongwe na wewe au baba ako???wewe komaa na hio topic yako ya super mario ila ukija magetoni utagongwa tu na kusepa. shida kamtangazie babaako.
kwahivo unamaanisha wao kwao sex ni kazi?We jamaa VP ungekuwa ww upewe kazi bila malipo ungejisikiaje acha kuwachambua mademu zako,au kwa sababu huna pesa ya kuwapa?usiwanenee mabaya cyo vyema
Hapana naye hakuombi kila SIKU ,ila ikitokea ana shida MPE ,labda uwe Malaya kama umempenda utafanya chochote kwa ajili ya kumlinda ,shida mapenzi ya kweli ndyo unakuwa hunakwahivo unamaanisha wao kwao sex ni kazi?
Kama mnaona wanawake tukitiwa tukapewa ela tunafaidi sana,basi ungeni tera tu na nyinyi tuwe tunafanana na nyie mtapewa ela.
Si mnapenda kupewa.
Povu ruksa
Hiyo "mnanigoshiet" ni lugha gani??kwahio sex ishakua ajira hio? kwanini msiwe mnanigoshiet kabla ya kutafunwa?
lini tumeingia mkataba mimi nikikutafuna inabidi nikulipe?
hatutaki kuhongwa na hatutaki kuhonga. huwezi kunielewa kwasababu akili zako ni nzito kama mwili wako. vibonge bwana [emoji38] [emoji38] [emoji38]Hiyo "mnanigoshiet" ni lugha gani??
We si unaona kuhongwa haistahili,lakini nyinyi ndio mnataka kuhongwa na watoto wa matajiri,basi njooni tuwatafutie mabwana mhongwe.
Yaani mwanaume hata siku moja huwezi kaa chini oooh. Madenu matajiri na mademu maskini. Umwmjuaje tajiri kwa sababu anakuhonga?? Na unahisi ana mapenzi ya dhati kwa vile anakuhonga?
Huo ni umarioo,kitonga. Wavulana mnapenda sana vitu vya bure bure now days. Mnakimbilia kusema oooh wadada wanaoomba ela ni maskini,acha tuwe maskini kama wewe ulivyo maskini kuhongwa na mtoto wa kitajiri.
Sote tunahongwa,unachoshindwa wewe ni ku admit unahongwa direct,lakini una admit unahongwa unaposema wanawake wa kitajiri,tushawaelewa marioos.
Take a seat and chill pills marioo.
Punguzeni vitonga,kupenda bure bure mtaolewa.