😳😳Wacha basi🤣🤣
Ila humu jf kuna watu wa maana sana ndugu yangu.
Kitu unachoongea /andika humu ndani ndio kitakachokuchagulia watu wako huku.
Ai….kuna watu na viatu humu jf.Inaelekea unakutanaga na viatu..Ila kuna watu wazito sana humu
Nakupendaga bure Kwa sababu ya confidence yako my love..👊👊
nimefichwa kwenye tako la mama wa kambo jamani.Sijui mzabzab amefichwa wapi😅
Wacha basi😝😝nimefichwa kwenye tako la mama wa kambo jamani.
Ndio dili ila kuwa na mmoja ni vizuri sanaAise wa humu ninawaogopa ngoja kwanza nipuyange na hawa wamtaani na hayo maembe
wee kuwacha mbususu na tako wa mama wa kambo mpaka baba aniue aiseeWacha basi😝😝
Kwamba mbuzi kafia Kwa muuza supu😆😆wee kuwacha mbususu na tako wa mama wa kambo mpaka baba aniue aise
Sasa shoga angu unanishauri niwe na mmoja…mbona wewe inaonekana unaowengi mama😄😄Acha uchoyo basi ndugu uaNdio dili ila kuwa na mmoja ni vizuri sana
🤣🤣🤣🤣🤣Nacheka hapa khaaSasa shoga angu unanishauri niwe na mmoja…mbona wewe inaonekana unaowengi mama😄😄Acha uchoyo basi ndugu ua
balaaa akipitaga na khanga moko au akiwa anafua nguo za mzee ni full mitegeo na mie nikishaonaga mstari wa kyupi tuu akili zote zinarukaKwamba mbuzi kafia Kwa muuza supu😆😆
Cheka tu hakuna namna…🤣🤣🤣🤣🤣Nacheka hapa khaa
Wewe nitakufungia mfungo dry wa siku 40 mlima sayuni🤣🤣balaaa akipitaga na khanga moko au akiwa anafua nguo za mzee ni full mitegeo na mie nikishaonaga mstari wa kyupi tuu akili zote zinaruka
hahaha mfungaji mwenyewe wewe🤣🤣🤣🤣🤣 hapo nihesabu majanga tuu hamna uponyajiWewe nitakufungia mfungo dry wa siku 40 mlima sayuni🤣🤣
Sante darlie Sisy 😂😂Pole mama..!!
Ndiyo maana ulipotea maskiini...!!
Zadarau zitakuua ndugu mtenda zambihahaha mfungaji mwenyewe wewe🤣🤣🤣🤣🤣 hapo nihesabu majanga tuu hamna uponyaji
Siku ukinikuta niko na anko Jesus nikimpa maelekezo ya huyu mupe huyu muruke ndipo utatia adabuhahaha mfungaji mwenyewe wewe🤣🤣🤣🤣🤣 hapo nihesabu majanga tuu hamna uponyaji
hahaha sio dharau bwana ndio ukweli.Zadarau zitakuua ndugu mtenda zambi
Umeanza mabalaa mtoto wa kambo.hahaha sio dharau bwana ndio ukweli.
dah ila mrembo una lips sexy hatari
mwanamke una maneno wewe....anyways wacha nikacheki mama wa kambo anataka nituma nini jioni hiiUmeanza mabalaa mtoto wa kambo.
Hebu achana na mimiendelea kuipalilia dhambi ya uzinzi ili uende jehanamu ukiwa umeshiba zambi🤣🤣