Wadada wenzangu hii sio poa

😳😳
 
hahaha mfungaji mwenyewe wewe🤣🤣🤣🤣🤣 hapo nihesabu majanga tuu hamna uponyaji
Siku ukinikuta niko na anko Jesus nikimpa maelekezo ya huyu mupe huyu muruke ndipo utatia adabu
 
hahaha sio dharau bwana ndio ukweli.
dah ila mrembo una lips sexy hatari
Umeanza mabalaa mtoto wa kambo.

Hebu achana na mimiendelea kuipalilia dhambi ya uzinzi ili uende jehanamu ukiwa umeshiba zambi🤣🤣
 
Umeanza mabalaa mtoto wa kambo.

Hebu achana na mimiendelea kuipalilia dhambi ya uzinzi ili uende jehanamu ukiwa umeshiba zambi🤣🤣
mwanamke una maneno wewe....anyways wacha nikacheki mama wa kambo anataka nituma nini jioni hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…