Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Wacha basi🤣🤣

Ila humu jf kuna watu wa maana sana ndugu yangu.

Kitu unachoongea /andika humu ndani ndio kitakachokuchagulia watu wako huku.

Ai….kuna watu na viatu humu jf.Inaelekea unakutanaga na viatu..Ila kuna watu wazito sana humu


Nakupendaga bure Kwa sababu ya confidence yako my love..👊👊
😳😳
 
hahaha sio dharau bwana ndio ukweli.
dah ila mrembo una lips sexy hatari
Umeanza mabalaa mtoto wa kambo.

Hebu achana na mimiendelea kuipalilia dhambi ya uzinzi ili uende jehanamu ukiwa umeshiba zambi🤣🤣
 
Umeanza mabalaa mtoto wa kambo.

Hebu achana na mimiendelea kuipalilia dhambi ya uzinzi ili uende jehanamu ukiwa umeshiba zambi🤣🤣
mwanamke una maneno wewe....anyways wacha nikacheki mama wa kambo anataka nituma nini jioni hii
 
Back
Top Bottom