Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #81
Eti nashangaa walahi Sina hata mfagia baraza humu nipo tu kama nipoHold on π€£π€£ hizo hasira zimetoka wapi
Au ni yule dume jike wa screenshot π€£π€£π€£π€£π€£
Amtaje tumnangeeee
Kwanini wagombane kisa wanaume ambao hata makwao hawajulikani
Cc Unique Flower
Unawaogopa hao wake wenzako ππEti nashangaa walahi Sina hata mfagia baraza humu nipo tu kama nipo
Nitakavyowaruka futi mia hawataaminiπ€£π€£Nitawakamatia nikurudishe
Wakusute ukome π€£π€£π€£π€£
πππsawa ila kuna drama zitakukondesha date na kidada cha chuo moto wake ndo huu. Atakufanya baba yake na drama kama zote
Halafu mtoke nduki Jana juzi Wala hamkuwepo nilipochambwaπ€£π€£ fanya haraka Flower
Mwenyewe sijapentaaaa
Hata viporo vya pilau havijaisha kwenye friji jamani
Unique Flower tupo nyuma yako shogaa, hatutakuacha wakunyanyase kizembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah
Wake na Sina gari mke ni yule anayejaliwa Kwa kila kitu Kama nyumba ya kisasa ,gari,na hela ya matumizi Kwa mwezi ulionona Sasa sie bado huko aiseeUnawaogopa hao wake wenzako ππ
Hasira zinakujaga tu zenyewe nikiwa sina helaHold on π€£π€£ hizo hasira zimetoka wapi
Au ni yule dume jike wa screenshot π€£π€£π€£π€£π€£
Amtaje tumnangeeee
Kwanini wagombane kisa wanaume ambao hata makwao hawajulikani
Cc Unique Flower
Au anatafuta kik.. ndio nimeanza kupitia comments, aliwataja au analalamika tu?Watajeeeeeeee
Usipowataja unawaogopa[emoji28]
Hasira zinakujaga tu zenyewe nikiwa sina hela
Dume jike π€£π€£π€£
Yule hashindwi maana ana mahangaiko debe
Au anatafuta kik.. ndio nimeanza kupitia comments, aliwataja au analalamika tu?
Nahisi ndio huyo huyooLeo nimecheck karudi kikeni
Mwamba ana miwasho yule π€£π€£π
Amtaje tumpumzikie
Oooh kumbe umeambiwa tu? Achana na maneno ya kusikia zidisha mapenzi kwa huyo mpenzi wenu mpaka mchepuko mwenzio akili imkae sawa.Sawa mie Sina mume , mchumba, Wala. Cha Nini mie nimeambiwa tu na mtu kuwa huyu ni mwanadada ambaye anahisi uko na jamaa za Hawa wanaume malegend walioanza hii jf Sasa ukiangalia mie hao wa nyuma sinaga mambo nao hawajawahi nifuata ila kaleta ujinga na kebei hadi kero.
Mie ni smart ila kaniboa bhana .
Ila nimekuelewa kitofauti nitajitahidi
Nitajie PM nione kama ndo mwenyeweeeNahisi ndio huyo huyoo
Mwaya Unique Flower hiyo siku hatukua hewani, tusamehe bureππππππ muulize Lenie
Mm nimepoteza cm juzi
Jana jioni ndio nimerudi kwa hewa.
Mtaje tumsuteee
Wala hatukukimbiii