Wadada wenzangu hii sio poa

Hold on 🀣🀣 hizo hasira zimetoka wapi

Au ni yule dume jike wa screenshot 🀣🀣🀣🀣🀣

Amtaje tumnangeeee
Kwanini wagombane kisa wanaume ambao hata makwao hawajulikani

Cc Unique Flower
Eti nashangaa walahi Sina hata mfagia baraza humu nipo tu kama nipo
 
Fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight fight
 
Sisi ni watetezi wa wanyonge....mtu hawezi kuonewa hivo sie tupo, hapanaaaa( in mkojani voice)🀣🀣🀣

Flower taja haraka nanyoosha kijora cha kumchambia mtu🀣
Mwenyewe sijapentaaaa
Hata viporo vya pilau havijaisha kwenye friji jamani

Unique Flower tupo nyuma yako shogaa, hatutakuacha wakunyanyase kizembe
 
Hold on 🀣🀣 hizo hasira zimetoka wapi

Au ni yule dume jike wa screenshot 🀣🀣🀣🀣🀣

Amtaje tumnangeeee
Kwanini wagombane kisa wanaume ambao hata makwao hawajulikani

Cc Unique Flower
Hasira zinakujaga tu zenyewe nikiwa sina hela

Dume jike 🀣🀣🀣
Yule hashindwi maana ana mahangaiko debe
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ muulize Lenie
Mm nimepoteza cm juzi
Jana jioni ndio nimerudi kwa hewa.


Mtaje tumsuteee
Wala hatukukimbiii
Ila unamjua kabisa Wala akilini hatotoweka
 
Leo nimecheck karudi kikeni

Mwamba ana miwasho yule πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ


Amtaje tumpumzikie
Hasira zinakujaga tu zenyewe nikiwa sina hela

Dume jike 🀣🀣🀣
Yule hashindwi maana ana mahangaiko debe
 
Oooh kumbe umeambiwa tu? Achana na maneno ya kusikia zidisha mapenzi kwa huyo mpenzi wenu mpaka mchepuko mwenzio akili imkae sawa.
Kuchambana kisa wanaume mambo ya zamani sana shoga angu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ muulize Lenie
Mm nimepoteza cm juzi
Jana jioni ndio nimerudi kwa hewa.


Mtaje tumsuteee
Wala hatukukimbiii
Mwaya Unique Flower hiyo siku hatukua hewani, tusamehe bure
Ila nakuhakikishia leo tuko bega kwa bega na wewe.

Hivyo hapa nilikua naenda sokoni ila nimesimama mahali nasubiria uwataje nikupambanie na sokoni siendi tena, huoni navyokujali?

Haya watajeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…