Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
hii movie naona steling wake anamkali hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna mwenye makasiriko, atafute mtu amshike matiakonyie sikukuu haijaisha acheni makasiriko
Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.
Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?
ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.
Be smart
Acha ukuda basi ndugu Mtanzania mwenzangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kungwi Chakorii kasema😅
Naomba akuelewe na wengine wote😅Acha ukuda basi ndugu Mtanzania mwenzangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ako na malalamiko mengi sana.utafikiri jf yuko mwanamke peke yake na hao wanawake wenzieNaomba akuelewe na wengine wote😅
Eti bj Kama kibogoyoAko na malalamiko mengi sana.utafikiri jf yuko mwanamke peke yake na hao wanawake wenzie
Ushauri wako tunauzingatia wake kwa waume.Ako na malalamiko mengi sana.utafikiri jf yuko mwanamke peke yake na hao wanawake wenzie
Ndio hivyo😂Eti bj Kama kibogoyo
Kichwa chako🤣🤣🤣Ushauri wako tunauzingatia wake kwa waume.
Niko na kadaftari hapa..
Umesema kuwa
1.bj kama kibogoyo
2.viuno kama panga boi bovu
3.&10...?
Eheeh kingine....?
Ili tukiingia na mchumba kwenye 6/6 Nampa kadaftari afuate maelekezo.
Uchoyo dhambi,nipe 😅Kichwa chako🤣🤣🤣
Ukimpata mlete kwanguUchoyo dhambi,nipe 😅
Sawa sawa mkuuUkimpata mlete kwangu
Ukimpata mlete kwangu