Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.

Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?

ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.

Be smart

Kungwi Chakorii kasema😅
 
Mmmh natamani niandike kitu ila nilivyo kinara wa kuwatetea wanawake kumbe sisi wenyewe ndo chanzo cha kutukanwa. Sasa wakiona hivi watatuona tuna akili zimetimia kweli?

Naona kama narudishwa maisha ya chuo hivi. Vidrama drama vya kitoto saana. Relax kadada jf tuifanye kama sehemu ya kujifunza na burudani tu. Hivi vijembe vinatushushia heshima sisi ke wote humu.
 
Ako na malalamiko mengi sana.utafikiri jf yuko mwanamke peke yake na hao wanawake wenzie
Ushauri wako tunauzingatia wake kwa waume.
Niko na kadaftari hapa..
Umesema kuwa
1.bj kama kibogoyo
2.viuno kama panga boi bovu
3.&10...?

Eheeh kingine....?
Ili tukiingia na mchumba kwenye 6/6 Nampa kadaftari afuate maelekezo.
 
Ushauri wako tunauzingatia wake kwa waume.
Niko na kadaftari hapa..
Umesema kuwa
1.bj kama kibogoyo
2.viuno kama panga boi bovu
3.&10...?

Eheeh kingine....?
Ili tukiingia na mchumba kwenye 6/6 Nampa kadaftari afuate maelekezo.
Kichwa chako🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom