Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
🥂Sawa sawa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥂Sawa sawa mkuu
Wewe kaa Kwa utulivu ndugu mwananchiSio nifike Mimi kwanza?
😂😂😂Huyu Dada anahitaji msaada wa kisaikorojia
Wewe S C jamani hutendi hakiWewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.
Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?
ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.
Be smart
😂😂😂😂 umbeaWatajeeeeeeee
Usipowataja unawaogopa😅
Nashangaa anachelewesha
🤣🤣 fanya haraka FlowerNashangaa anachelewesha
Ataje tumsute watu tutoe baridi 🤣🤣
Makasiriko👇😁😁😁nyie sikukuu haijaisha acheni makasiriko
😂😂😂 watu wana siri sanaaKumbe watu wanalipiwa kodi na kupelekwa shopping humu sina taarifa mweeh [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Atajwee tu Kwa kweli tupunguze na hizi shibe za sikukuu, Kwa nini amkalie kooni hivo mtoto wa watu, Kwa kweli sijapentaaaa🤣🤣 atajwe tumalize ugomvi.Nashangaa anachelewesha
Ataje tumsute watu tutoe baridi 🤣🤣
Mmmh natamani niandike kitu ila nilivyo kinara wa kuwatetea wanawake kumbe sisi wenyewe ndo chanzo cha kutukanwa. Sasa wakiona hivi watatuona tuna akili zimetimia kweli?
Naona kama narudishwa maisha ya chuo hivi. Vidrama drama vya kitoto saana. Relax kadada jf tuifanye kama sehemu ya kujifunza na burudani tu. Hivi vijembe vinatushushia heshima sisi ke wote humu.
Hata mimi naona aisee, mpaka kuibiana waumeMambo ni mazito humu ndugu yangu🤣
Nguvu kazi tupo mwaya we wataje af kazi yote tuachie sisi.🤣🤣 fanya haraka Flower