Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Ata
Atajwee tu Kwa kweli tupunguze na hizi shibe za sikukuu, Kwa nini amkalie kooni hivo mtoto wa watu, Kwa kweli sijapentaaaa🤣🤣 atajwe tumalize ugomvi.
Mwenyewe sijapentaaaa
Hata viporo vya pilau havijaisha kwenye friji jamani

Unique Flower tupo nyuma yako shogaa, hatutakuacha wakunyanyase kizembe
 
Nguvu kazi tupo mwaya we wataje af kazi yote tuachie sisi.

Kwanini wakufanyie hivyo shoga etu kipenzi Unique Flower , hunaga baya ya mtu
Nina hasira sana emu wataje saivi tuanze kuwashughulikia
Hold on 🤣🤣 hizo hasira zimetoka wapi

Au ni yule dume jike wa screenshot 🤣🤣🤣🤣🤣

Amtaje tumnangeeee
Kwanini wagombane kisa wanaume ambao hata makwao hawajulikani

Cc Unique Flower
 
😀😀😀

Malizia Mwaka vizuri mwaya mtoto mzuri.
Ola Mimi napenda Drama zenu, 😊😊
Zinawafanya muwe Romantic, majike haswa
😂😂😂sawa ila kuna drama zitakukondesha date na kidada cha chuo moto wake ndo huu. Atakufanya baba yake na drama kama zote
 
Wewe unaeanzisha uzi ndio utaleta shida..kama wanakutukana piga kimya zidisha mapenzi Kwa huyo mume wenu acheni mambo ya kudhalilishana ndugu zangu.

Kama wewe sio mume wako,na anaekutukana sio mume wake..sasa ya nini kugombana wakati nyote nyie sio mwanaume wenu halali?

ichange karata yako vizuri.huku wakikutukana kule Kwa mume wenu unampa viuno vya kwenda..bj za maana kama kibogoyo.

Be smart
asa ndo nini acha tupate raha wenzio 😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom