Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .

Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.

Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.

Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .

Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.

Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.

Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
Ukitulia ukaandika una hoja nzuri sana ya kuwafunda wanawake wenzako.

Pole kwa maswahibu yaliyokukuta.
 
Mim ningekushauri kitu kimoja dada,ww una tatizo la kuzidiwa na nyege,.. mwanamke anaekazwa vizuri na bwanaake hana muda wa kutype type Majungu na kupost jf kila siku..tafta bwana akukaze haswa ..upate utulivu wa akili. Coz nyege zikizid ni hatari kwa afya..
 
Mim ningekushauri kitu kimoja dada,ww una tatizo la kuzidiwa na nyege,.. mwanamke anaekazwa vizuri na bwanaake hana muda wa kutype type Majungu na kupost jf kila siku..tafta bwana akukaze haswa ..upate utulivu wa akili. Coz nyege zikizid ni hatari kwa afya..
Ndio anatafuta sasa halafu wenzie wanamzibia kama hivyo, unadhani hatafuti?
 
Mim ningekushauri kitu kimoja dada,ww una tatizo la kuzidiwa na nyege,.. mwanamke anaekazwa vizuri na bwanaake hana muda wa kutype type Majungu na kupost jf kila siku..tafta bwana akukaze haswa ..upate utulivu wa akili. Coz nyege zikizid ni hatari kwa afya..
💣
 
Humu wadada wengi Wana avatar mia Moja za kiume na zakike nimetafakari sana nanimeona kuwa huu sio ustaarabu umchafua mwanamke mwenzako Kisa mwanaume ambaye ni mume wa mtu ambaye ni amepiga umri wa kutosha .

Kala chumvi nyingi sana na bado anafamilia inamsumbua because yupo kwenye kitengo kizuri basi unamganda anamke huyoo.

Ndio chanzo chakutukanwa mie wewe kinyago nakujua na nimegundua Kuna vinyago humu vinawashwa na Mimi.

Huyo aliyenitukana ni mwanamke ambaye anadhani nipo na jamaa zake sijajua humu watu wanalipiwagwa Kodi,shopping na wanatafutiwa michongo yakazi humu watu wamezaa na michepuko Yao .

Sasa mtu akiona ninavyochart naye anajua huyu jamaa anaongeza kitu Kwa taarifa yenu msinizoeee kabisa.

Namjua mmoja na wawili Hawa ndumilakiwili wanaojidai kuandika andika positive comments unadhani ni wapendwa kumbe vigroup vinajazana ujinga eti mie na wachukulia vizee vyenu . Sina time navyoo mjue.

Na kama kuchoka na mambo yake kila mtu anachoka na mambo yake
Mbona unaandika umepaniki mwaya eheee!!!; kulikoniiiiii, ni yape yamekusibu dia, em kunywa maji tulia dk 2 ndo uwe unaandika la sivyo utaweka hum visivyoeleweka tuliza jazba
 
Back
Top Bottom