Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Jambo Jambo?
Nakumbuka kipindi kile kama sikosie kampuni ambayo ilikuwa miongoni mwa makampuni ya awali ya michezo ya kubahatisha “Kubeti” ilikuwa ni M-BET, MERIDIAN na kadhalika.
Kama ilivyo mazoea kwa vijana kujaribujaribu vitu mbalimbali, vivyo hivyo kwenye kubeti kijana nikazama huko na mwanzoni nilikuwa nakula kula kiasi kwasababu pia nilikuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira kuliko kawaida.
Ila badae akili ikanicheza na nkajikuta napoteza mvuto na michezo ya kubeti licha ya kufuatilia kabumbu barabara.
Wapo vijana ambao wameufanya mchezo huu kuwa kama “Addiction” na haipiti siku wala saa bila kubeti au kuandaa hiyo mikeka.
NAKUMBUKA NILIJIAMBIA;
HAKUNA PESA RAHISI, ZAIDI YA KUFANYA KAZI/BIASHARA KWA BIDII.
Hii ya leo mhindi sijui kanila, sijui mkeka umechanika, sijui chelsea kaniuaa
sikuiweza kwa kwakweli
Mbaya zaidi ni kampuni zimeongezeka sanaaa kuonyesha namna gani sisi vijana tunataka Easy money na pia kiwango cha Jobless kwetu.
(Sipingi suala la kubeti ila nimesema kwa mtazamo wangu kuwa nilishindwa kuielewa kabisaa na nkapoteza mvuto nao).
Nshomile
Kagera,Tanzania
Nakumbuka kipindi kile kama sikosie kampuni ambayo ilikuwa miongoni mwa makampuni ya awali ya michezo ya kubahatisha “Kubeti” ilikuwa ni M-BET, MERIDIAN na kadhalika.
Kama ilivyo mazoea kwa vijana kujaribujaribu vitu mbalimbali, vivyo hivyo kwenye kubeti kijana nikazama huko na mwanzoni nilikuwa nakula kula kiasi kwasababu pia nilikuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira kuliko kawaida.
Ila badae akili ikanicheza na nkajikuta napoteza mvuto na michezo ya kubeti licha ya kufuatilia kabumbu barabara.
Wapo vijana ambao wameufanya mchezo huu kuwa kama “Addiction” na haipiti siku wala saa bila kubeti au kuandaa hiyo mikeka.
NAKUMBUKA NILIJIAMBIA;
HAKUNA PESA RAHISI, ZAIDI YA KUFANYA KAZI/BIASHARA KWA BIDII.
Hii ya leo mhindi sijui kanila, sijui mkeka umechanika, sijui chelsea kaniuaa
sikuiweza kwa kwakweli
Mbaya zaidi ni kampuni zimeongezeka sanaaa kuonyesha namna gani sisi vijana tunataka Easy money na pia kiwango cha Jobless kwetu.
(Sipingi suala la kubeti ila nimesema kwa mtazamo wangu kuwa nilishindwa kuielewa kabisaa na nkapoteza mvuto nao).
Nshomile
Kagera,Tanzania