Wadau hapa sijapigwa na kitu kizito kweli?

Wadau hapa sijapigwa na kitu kizito kweli?

Acha kukimbia majukumu ..
Ameshafilimbwa hapo Wanawake mna Siri nyingi mno ndio maana alifanya Siri mdau anapewa tu mtoto si anataka kuhudumia na yule si anahudumia basi atakua analetewa tu ahudumie huku Watu wanajipigia tu ikinasa analengeshewa aendelee kuhudumia, siziamini hata DNA test simshauri ukapime hio Mimba km yake yeye na moyo wake km anaweza kuzilea shahawa za Mwanaume mwingine ni juu yake
 
Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...

Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.

Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.

Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia

Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.

Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Acha kiherehere. Umemtafuta mwenyewe
 
Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...

Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.

Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.

Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia

Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.

Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Wewe nifala kweli hujui hata mimba inakomaa miezi mingapi😄
 
ujauzito una miezi kumi saa hii kutoka mwezi wa 12 mwaka Jana.
 
Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...

Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.

Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.

Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia

Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.

Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Atajifungua trh 17 Septemba
 
Sasa elimu inahusiana nn na huu ushauri
Sasa kama unashindwa hata kujua ukuaji wa Mimba kwanini usiulizwe ekimu yako?? , nina wasiwasi hata huyo wa kwanza anaweza asiwe wako kama mwanamke anakutamkia hio mimba ni yako bika wasiwasi
 
Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...

Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.

Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.

Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia

Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.

Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Iko nacho ni kisebu sebu shobo
 
Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...

Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.

Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.

Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia

Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.

Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Akili Kama hizi zinawafaa sisimizi , uboya kweli huu
 
Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...

Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.

Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.

Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia

Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.

Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Umri wako miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom