Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Ameshafilimbwa hapo Wanawake mna Siri nyingi mno ndio maana alifanya Siri mdau anapewa tu mtoto si anataka kuhudumia na yule si anahudumia basi atakua analetewa tu ahudumie huku Watu wanajipigia tu ikinasa analengeshewa aendelee kuhudumia, siziamini hata DNA test simshauri ukapime hio Mimba km yake yeye na moyo wake km anaweza kuzilea shahawa za Mwanaume mwingine ni juu yakeAcha kukimbia majukumu ..
Acha kiherehere. Umemtafuta mwenyeweIko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...
Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.
Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.
Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia
Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.
Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Kwa harakaharaka hapo Jamaa aliempigia Simu ndie aliemtia Mimba huyo Manzi Ila kamlengesha Jamaa na Jamaa kajaa sasa ataanza kuhudumia mtoto wa Mwanaume mwenzie aliempigia Simu kumwambia kashamtia Mimba Mwanamke aliezaa nae, akili kichwaniAcha kiherehere. Umemtafuta mwenyewe
Wewe nifala kweli hujui hata mimba inakomaa miezi mingapi😄Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...
Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.
Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.
Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia
Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.
Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Atajifungua trh 17 SeptembaIko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...
Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.
Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.
Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia
Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.
Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Sasa kama unashindwa hata kujua ukuaji wa Mimba kwanini usiulizwe ekimu yako?? , nina wasiwasi hata huyo wa kwanza anaweza asiwe wako kama mwanamke anakutamkia hio mimba ni yako bika wasiwasiSasa elimu inahusiana nn na huu ushauri
Iko nacho ni kisebu sebu shoboIko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...
Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.
Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.
Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia
Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.
Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Shaba ya Zambia!Hicho ni zaidi kichuma kizito
Akili Kama hizi zinawafaa sisimizi , uboya kweli huuIko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...
Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.
Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.
Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia
Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.
Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
DuuhAkili Kama hizi zinawafaa sisimizi , uboya kweli huu
Umri wako miaka mingapi?Iko hivi,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda mkoani nikakutana na mama wa mwanangu ambae naweza kusema kama mahusiano ya kimapenzi yalikua yameshaisha tulibaki kulea mtoto...
Sasa,nilifikia lodge nayeye akamleta mtoto nimuone hapo lodge.katika moja na mbili tukajikuta tumekumbushia ya enzi tukafanya mapenzi hiyo ilikua tarehe 17 mwezi wa 12.
Kipengele ni hiki, baada ya hapo tulibaki tunawasiliana kuhusu mtoto tu na hakuna kingine mpaka mwaka huu mwezi wa sita nilipita tena mkoa huo kumuona mtoto na tulionana japo round hii sikutaka mazoea ya kufanya nae.
Ila sasa baada ya kutoka kule mwezi wa saba kuna mshikaji wangu ananiambia mwanamke kama anamimba nikamuambia mm hajaniambia
Sasa last week katika kuongelea maendeleo ya mtoto nikaamua nimgusie hali yake,kwanza mwanzo akakana kwamba hana hiyo shida ila baadae ananitumia sms kwamba mimba ni yangu ila alishindwa kuniambia tangu mwanzo.
Swali langu, hivi ni kweli mtu mliefanya nae mapenzi tangu mwezi wa 12 tarehe 17 awe hajazaa mpaka saiz? Na kama hajazaa kwann hakuniambia kwamba ana ujauzito wangu mpaka nilipomuuliza kuhusu mimba ndio kasema
Ccm itaendelea kutawala kwa miaka mingi sana. Kama Raia wenyewe ndio hawa.Akili Kama hizi zinawafaa sisimizi , uboya kweli huu
Nakazia mkazioNakazia tena