Wadau hapa sijapigwa na kitu kizito kweli?

I kweli..miez tisa anatimiza 17/9/2024.. atazaa siyo muda...pia nadhani huyo mwanamke ana akili sana hataki kuzaa na kila mwanaume.. ameamua akuzalie watoto..
 
Apo Wanawake ndipo ninapowakubali....Wakikutana na Boya wanamburuza mpaka akomee
 
Mimba siku hizi zinaenda hadi miezi 15, inawezekana mkuu
 
Anakuwa hajazaa ndiyo.

Labda ipite hiyo tarehe 17/9 ndiyo uanze hayo maswali magumu.

Hata hivyo kukuficha chanzo cha mimba hadi kuelezwa muda huu wa lala salama, tena kwa kufuatilia mwenyewe kuna walakini mkubwa kama ni yako kweli.

Hapo kunatafutwa bwege mlishi. .

Hata ukamvamie kusoma cheti cha kliniki utakuta umeandikwa wewe, ashakusoma unapenda sana 'nzao' kwa kufuatilia mimba ambayo haujapewa taarifa kwa sababu si yako.
 
Hongera sana,idadi ya watu inazidi kuongezeka!Huyo labda alitaka watoto wake wawe wa baba mmoja!yupo ndani ya muda
 
Unachekesha sana Mkuu 🤣🤣🤣🤣
 
Mapenzi mfanye nyie,tena bila kinga kisha mtuchoshe kushauri...skia babu lai,mimba ni yako usilete nyenyenyeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…