Hivi matokeo ya kidto cha nne hutoka mwez wa 1 kwenye tareh ngapi.itakuwa vizur kama mtanikumbusha na ya mwaka jana yalitoka kwenye tareh ngapi.(request)
Kijana uliye uliza swali umelidhalilisha jukwaa kuuliza swali lisilo kuwa na tija kwa jamii,kwanza wewe ukijua yatakusaidia nini? Au unaandaa mipango ya uchakachuaji?