Hivi matokeo ya kidto cha nne hutoka mwez wa 1 kwenye tareh ngapi.itakuwa vizur kama mtanikumbusha na ya mwaka jana yalitoka kwenye tareh ngapi.(request)
Kijana uliye uliza swali umelidhalilisha jukwaa kuuliza swali lisilo kuwa na tija kwa jamii,kwanza wewe ukijua yatakusaidia nini? Au unaandaa mipango ya uchakachuaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.