Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Nimenunua simu hivi karibuni kutoka duka moja hapo kariakoo. Sim nimeitumia tokea mwezi wa kumi na moja tarehe 15 mwaka jana (2024). Mwaka huu mwezi wa kwanza kwenye tarehe kama 20 hivi simu ghafla ikazima nikiwa naitumia.
Na ilizima katika hali ya kawaida tu kama imejirestart ila hii haikujirestart ukiwasha inapiga vibration tu kama inastuka ikitaka kuwaka ila haiwaki.
Sijaifungua wala kuipeleka kwa fundi nimeirejesha dukani na walinipa kikadi cha warrant cha miezi 6.
Lakini naona wanajizungusha kunipa majibu kwamba tunafanyaje baada ya hapa. Simu wapo nayo na kijana ambaye yupo dukani anaonyesha ukaidi na kushindwa kunipa ushirikiano ninaotaka baada ya changamoto hii.
Alichosema nisubirie amfikishie boss wake yaani mwenye biashara hiyo issue then atanipa jibu. Tokea ijumaa ya wiki iliyoisha hadi leo jumatano tunazungushana nikiwapigia simu wanasema subiri washughulikie.
Nipeni ushauri nisije nikafanya maamuzi kwa kukurupuka nikaonekana sina hekima au nikakosea nikaonekana mzembe.
Nipeni ushauri.
Na ilizima katika hali ya kawaida tu kama imejirestart ila hii haikujirestart ukiwasha inapiga vibration tu kama inastuka ikitaka kuwaka ila haiwaki.
Sijaifungua wala kuipeleka kwa fundi nimeirejesha dukani na walinipa kikadi cha warrant cha miezi 6.
Lakini naona wanajizungusha kunipa majibu kwamba tunafanyaje baada ya hapa. Simu wapo nayo na kijana ambaye yupo dukani anaonyesha ukaidi na kushindwa kunipa ushirikiano ninaotaka baada ya changamoto hii.
Alichosema nisubirie amfikishie boss wake yaani mwenye biashara hiyo issue then atanipa jibu. Tokea ijumaa ya wiki iliyoisha hadi leo jumatano tunazungushana nikiwapigia simu wanasema subiri washughulikie.
Nipeni ushauri nisije nikafanya maamuzi kwa kukurupuka nikaonekana sina hekima au nikakosea nikaonekana mzembe.
Nipeni ushauri.