Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
- Thread starter
- #21
Mzee refurbished ndio jina lingine la used. Refurbished ni imefunguliwa kufanyiwa inspections kubadilishiwa kama kuna parts zinazozingua then ikawekwa dukani.Ni heri ununue simu refurbished, kuliko used. Kwanza refurbished nyingi bei zake zipo juu na zinauzwa kama mpya, mtoa mada anazungumzia used.
Refurbished still ni used item. Hii hata kwa kuitazama ilikuwa ni mpya kabisa.