Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Najaribu kuweka mambo sawa kama unadanganywa ujue mapemawifi una mdomo
ahahhahhh sawa wii ake ValeNajaribu kuweka mambo sawa kama unadanganywa ujue mapema
Bora umwambie kabisa tusijelaumiana badae...Ukikatwa shingo tutakurudisha bariadi tukakupumzishe kwenye majaruba ya mpunga maana hakuna namna
Ndomana nakupendaga wifi yanguNajaribu kuweka mambo sawa kama unadanganywa ujue mapema
Nadhani amenielewaBora umwambie kabisa tusijelaumiana badae...
Ndomana nakupendaga wifi yangu
Nikwamba kinacho kuumiza wewe haujamtongoza hicho tu,,lakini mkuu kwani kumsahidia mtu mpaka uje umtangaze huku...Kuna kidemu flani tumewasiliana kama wiki tu...Sijakitongoza wala nini, sasa jana kimeniomba elfu hamsini eti kimepatwa na shida na hakina pa kukimbilia. Nikakizingua nikakiambia nikipata ntakitumia hiyo ndo imetoka..
Najiuliza tu, huyu dogo ana ndugu na ana wazazi how comes mtu ambae hata hamjui vizuri ampige mzinga?? Anaona nina hela sana au ananiona bushoke?? Huyo bwaba ake kwa nini asimuombe?? Anadhani hela zipo zinamsubiri yeye tu?? Anawapiga mizinga wangapi?? Mm demu akishaanza na mizinga hata kama nna nia nae mzuka unakata ghafla.
Dada zetu hata kama mna njaa msionyeshe kiuwazi hivyo,fikirieni kidogo kabla ya kupiga mizinga.
Mkuu simtangazi..Ni ushuhuda ili dada zetu wajifunzeNikwamba kinacho kuumiza wewe haujamtongoza hicho tu,,lakini mkuu kwani kumsahidia mtu mpaka uje umtangaze huku...
Papuchi zitatumaliza...Na tutazidi kuchunwa kwa tamaa zetu. Papuchi ya mwanamke ndio mtaji wake hapa mjini.