RFP
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 171
- 194
sasa mfano ww upewe ngap ndo unaridhika unaweza unatoa ? Maana wengine ni mateja wa kupiga mizinga,,, anapiga tuuuu...ukisema njoo anakuambia tuma nauli, ukituma anakuambia amepata dharura inakuwa mwendelezo wa mizinganautawakosa hivihivi utaishia kuwaita MASHEMEJI kwa ubahili wako.