Wadau hiki kizinga niaje!!

Wadau hiki kizinga niaje!!

Labda na yeye amewaza kuwa wewe shida yako ni kumgegeda so amejiongeza tu , Kwa sababu haya maisha yalivyo kila mtu anajiongeza tu sasa hivi,.
haahaaaa mkuu na yye kastuka .....mawasiliano ya nn kwan ye customer care
 
Kuna kidemu flani tumewasiliana kama wiki tu...Sijakitongoza wala nini, sasa jana kimeniomba elfu hamsini eti kimepatwa na shida na hakina pa kukimbilia. Nikakizingua nikakiambia nikipata ntakitumia hiyo ndo imetoka..

Najiuliza tu, huyu dogo ana ndugu na ana wazazi how comes mtu ambae hata hamjui vizuri ampige mzinga?? Anaona nina hela sana au ananiona bushoke?? Huyo bwaba ake kwa nini asimuombe?? Anadhani hela zipo zinamsubiri yeye tu?? Anawapiga mizinga wangapi?? Mm demu akishaanza na mizinga hata kama nna nia nae mzuka unakata ghafla.

Dada zetu hata kama mna njaa msionyeshe kiuwazi hivyo,fikirieni kidogo kabla ya kupiga mizinga.
Yani huo mzinga assumu amewapiga watu 10, hakosi laki mbili.
 
Kuna kidemu flani tumewasiliana kama wiki tu...Sijakitongoza wala nini, sasa jana kimeniomba elfu hamsini eti kimepatwa na shida na hakina pa kukimbilia. Nikakizingua nikakiambia nikipata ntakitumia hiyo ndo imetoka..

Najiuliza tu, huyu dogo ana ndugu na ana wazazi how comes mtu ambae hata hamjui vizuri ampige mzinga?? Anaona nina hela sana au ananiona bushoke?? Huyo bwaba ake kwa nini asimuombe?? Anadhani hela zipo zinamsubiri yeye tu?? Anawapiga mizinga wangapi?? Mm demu akishaanza na mizinga hata kama nna nia nae mzuka unakata ghafla.

Dada zetu hata kama mna njaa msionyeshe kiuwazi hivyo,fikirieni kidogo kabla ya kupiga mizinga.
Kijana soma kwanza umalize elimu yako, hayo mambo mengine waachie wenye uwezo nayo .....
 
Mi juzi nimepigwa mzinga na dem sijammega ndo vile iahatoka hivyoo
 
ni aibu kumwambia mwanaume kuwa humtaki ilaaaa unajiongeza unamuomba hata laki 5 unapiga kimya unasubiri majibu

ukiona mwanamke amekuomba ujue wewe ni bahili hujiongeziiiii

nb: mwanamke akipenda mwanaume hawezi kumuomba hela unless awe na shida kubwaaab na wana mda mrefu kwenye mahusiano..
 
Back
Top Bottom