Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
kwani ulitaka akae baada ya muda gani ndo "akupige hiko kizinga"????????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mnavyosemagaWataqaibia hao hao wasiojielewa..
Kwakweli ukikaa vibaya mchuno lazima ukupate..Ndio mnavyosemaga
Ila ikifika zamu yako hata wewe unachunwa tu [emoji38]
hapo sasa me nikiwa na shida aibu naweka uvunguni
Dadeki..Basi hapa umekutana na kisiki.haya ila ukiingia kizembe zembe nakupiga tu
mwanume hupendezi ukiwa mchoyoDadeki..Basi hapa umekutana na kisiki.
Ukiwaendekeza hawa ukajifanya baba huruma watakuchuna tu mana wao kazi yao ndo hiyo...Duh unamtangaza halafu huumpi vibaya hivyo
ha haha hapo safiMie hata kama haipo nailazimisha tu nihakikishe kama yaliyomo yamo au kelele tuu...
Tena si ajabu aliahidi kusimamia hizo show hata kwa ukucha
Sio uchoyo miss chagga tatizo na nyie mnatuona sisi ATM..Na sisi kwa sasa kicha cha juu kinapiga kazi kuliko cha chini kwa hyo hamtupatimwanume hupendezi ukiwa mchoyo
Na wewe ukiombwa papuchi usiiringie ili ngoma iwe droo..Mie hata kama haipo nailazimisha tu nihakikishe kama yaliyomo yamo au kelele tuu...
Ndio mjipange sasaKwakweli ukikaa vibaya mchuno lazima ukupate..
hayaSio uchoyo miss chagga tatizo na nyie mnatuona sisi ATM..Na sisi kwa sasa kicha cha juu kinapiga kazi kuliko cha chini kwa hyo hamtupati
Na wewe ukiombwa papuchi usiiringie ili ngoma iwe droo..
Hapo tutaenda sawa..Ukinipiga kizinga nakupa bila tabuNa kwanini ni iringie mkuu?? siwezi kufa na utamu wangu
Mh hata kama ni hako kamsemo ka tumia pesa ikuzoee ila si kwa style hii..Ndio mjipange sasa
Hatutaki lawama. . .tumia pesa ikuzoee
Tena ukimpa pesa mwanamke upendo unazidi. . .jaribuMh hata kama ni hako kamsemo ka tumia pesa ikuzoee ila si kwa style hii..