Wadau Huyu Fei Toto Mnamuonaje??

Sawa Mkuu.. Kesho nitamuangalia tena kwa umakini akiwa anapambana na 'watoto wenzake' wa shule ya Alliance katika muendelezo wa TPL.
 
Reactions: Oxx
Kumbe ndio ulikokuwa unaelekea πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Fei Toto atosha. Muache hapo hapo jangwani, akifikisha umri wa Niyonzima tutakupatieni
 
Sawa Mkuu.. Kesho nitamuangalia tena kwa umakini akiwa anapambana na 'watoto wenzake' wa shule ya Alliance katika muendelezo wa TPL.
Unanafasi kubwa sana ya kuinjoy ufundi wake mkuu maana umri bado unaruhusu......

Wadau tumekua tukipiga kelele kwenye mitandao ili kocha ampange dimba la juu aonye ufundi wake lakin wap? Ata hivyo kwa jicho lingine kucheza dimba kubwa n faida kwake azid kukomaa asa kipengele cha ukabaji.....

Kwa umri wake na uwezo ni ngumu kuwafananisha na mkude kwa sasa lakin ndan yake anavitu, akiwa na nidhan na Malengo toto ni zaid ya Mkude kwa baadae.......
 
Fei toto dogo yuko vzr.. ila asogezwe 8/10... akaze buti tu.
 
Mkuu, je? Fei na Jonas wanacheza nafasi ya aina moja?
Ulinganisho unaleta maana kama nafasi zao ni hizo hizo.
Mmoja ni defensive midfielder na mwingine ni attacking midfielder. Si busara kuwalinganisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…