Hamnaaaa baaanaaa. Mnaendekeza anasa Sana wakati nchi ipo ICU kiuchumi. Upuuz kama huu hauvumiliki. Sasa na tutaanza na wewe Kama mfano. Onyo kali nakupa usipofanya kazi na kujishughulisha utaona cha mtema kuni na tunakufuatilia kwaanzia sasa hivi. Hatuwez kuwa na taifa la watu unproductive tukafumbia macho. No way?;