Dixon Divox
Member
- Aug 22, 2013
- 61
- 36
Wadau naomben ushauri kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali
Msaada tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujenga wapi?Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko??
Msaada tafadhali
[emoji3][emoji3][emoji3]MIL17 NI DOLA AU?
Kujenga wapi?
Maana sehemu nyingine hiyo pesa hainunui hata kiwanja.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Ramani ndiyo ingeweza kutoa muelekeo maana waweza kuta chumba tu cha kulala ni 500cm ×600cm sitting 700cm×900cm na jiko ni 300cm×300cm choo 200cm×300cm hapo hiyo hela itatosha kinyumba kimoja tuWadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko??
Msaada tafadhali
4 mil kwa apartment 1?? Hivyo vyumba vinakuwaje labdaKujenga maana yake anacho kiwanja. Apartment maana yake nyumba 4 za kupangisha bila kujali idadi ya vyumba. Hadhi ya apartment ni atleast 4m kwa moja. Kiasi ambacho kinatosha sana kwa chumba choo na jiko lake × 4.
4.5m kwa 3m. Upande wenye 4.5m unapunguza 1.5m. Itatoa jiko na choo size 1.5 kwa 1.5 na kubakiwa na chumba chenye 3m kwa 3m. Block za msingi kwa moja ni 150pcs na kuinua 700. Upauaji wa Contemporary4mil kwa apatmnt 1?? hicho vyumba vinakuwaje labda
Hajakwambia apartment ya hadhi gani, lakini bado unaweza toka na Apt nzuri tu.Hakuna kitu kama hicho. Tatu kwa kutoweka vitu vya kisasa kama marumaru, madirisha ya vioo nk. Otherwise mbili kwa kuweka muonekano wa kisasa
Ndio nimemjibu kwa apartment nne hapana. Labda tatu kwa kutoweka mbwembwe au mbili zenye mbwembweHajakwambia apartment ya hadhi gani, lakini bado unaweza toka na Apt nzuri tu.
4 unapata angalia hesabu hapo juuNdo nmemjibu kwa apartment nne hapana. labda tatu kwa kutoweka mbwembwe au mbili zenye mbwembwe
Duh sio kwa kuibana hivyo [emoji23][emoji23]4 unapata angalia hesabu hapo juu
4 unapata angalia hesabu hapo juu