pha
Member
- Oct 19, 2020
- 48
- 89
Hesabu yako iko more ideal than real [emoji3]4 unapata angalia hesabu hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hesabu yako iko more ideal than real [emoji3]4 unapata angalia hesabu hapo juu
Kwamba 4.5mil inatoa chumba, sebule na choo kwa vyumba vya 3m??? Hebu tuambie vinakuwaje4.5m kwa 3m. Upande wenye 4.5m unapunguza 1.5m. Itatoa jiko na choo size 1.5 kwa 1.5 na kubakiwa na chumba chenye 3m kwa 3m. Block za msingi kwa moja ni 150pcs na kuinua 700. Upauaji wa Contemporary
Kivipi? Kwa size chumba 3/3, jiko 1.5/1.5 na w room 1.5/1.5Kwamba 4.5mil inatoa chumba ,sebule na choo kwa vyumba vya 3m??? Hebu tuambie vinakuwaje
Uko kinadharia sanaKivipi? Kwa size chumba 3/3 , jiko 1.5/1.5 na w room 1.5/1.5
Nenda na hesabu hii, siyo exactly tofauti ndogo sana inaweza jitokeza, kutegemea eneo.Asante wadau naendeleo kufuatilia maoni yenu yana mchango mkubwa sana kwangu!!
Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali
Hukueleweka kwenye contemporary4.5m kwa 3m. Upande wenye 4.5m unapunguza 1.5m. Itatoa jiko na choo size 1.5 kwa 1.5 na kubakiwa na chumba chenye 3m kwa 3m. Block za msingi kwa moja ni 150pcs na kuinua 700. Upauaji wa Contemporary
Ndiyo, iwepo mkononi17÷4=4.25 kwa hyo kila apartment utaijenga kwa milion 4.25 au sio!!!
Kweli kabisaNne haiwezekani... ila 3 inawezekana kama finishing yake iwe ya kizamani.. no tiles , no alluminiums, no mbwembwez
Kwanza unajua maana ya apatimenti?Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali
Ungemaliza ni aina gani ta apartments ila kwa maoni yangu hata mbili kwa hiyo pesa haitoshi
HapanaWadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali
Hapa hueleweki hizo 250,700,450.....Ni quatities za materials au ni bei za material+Labour+ transport? Na kama ni bei andika vizuri kama ni laki moja andika Tsh 100,000/= ili ueleweke.Nenda na hesabu hii, siyo exactly tofauti ndogo sana inaweza jitokeza, kutegemea eneo.
Block 700, Tiles 250, Mlango 450, Madirisha 700, Mchanga & kokoto 250, Rangi, G powder & W cmt 150, Bati 300, Mbao 100, Cement 400, Board 100, Nondo 100, Umeme 350, Fundi 500.
Chief nahitaji mahesabu ya kujemga chini tu hapa, itanigharimu kiasi gani, nataka nijenge chini, nivute pumzi nitamalizia juu kipindi kijacho.4.5m kwa 3m. Upande wenye 4.5m unapunguza 1.5m. Itatoa jiko na choo size 1.5 kwa 1.5 na kubakiwa na chumba chenye 3m kwa 3m. Block za msingi kwa moja ni 150pcs na kuinua 700. Upauaji wa Contemporary
Ni issue ya kujiongeza tu, ongeza 000 ktk hizo figure, ie. Number in thousands. Kwa kuelewa hoja hizo ni pesa. Niambie nilicho kadiria chini. Nenda moja baada ya nyingine. Kwa chumba chenye jiko na bafu. Hizo ndizo gharama zake.Hapa hueleweki hizo 250,700,450 Ni quatities za materials au ni bei za material+Labour+ transport? Na kama ni bei andika vizuri kama ni laki moja andika Tsh 100,000/= ili ueleweke...
Nime copy Google, na ndivyo nijuavyoMnajua maana ya apartment lakini?
Hiyo ni chumba jiko na choo. Upangishaji wenye mahitaji makubwa kwa sasa ni wa chumba kimoja chenye huduma muhimu. Yaani kulala kupika na kuoga. Upangishaji wa pili ni kuongeza lounge/sebule labda na store.Chief nahitaji mahesabu ya kujemga chini tu hapa, itanigharimu kiasi gani, nataka nijenge chini, nivute pumzi nitamalizia juu kipindi kijacho...