Wadau kwa Milioni 17 naweza kujenga apartment 4?

Wadau kwa Milioni 17 naweza kujenga apartment 4?

Hiyo ni chumba jiko na choo. Upangishaji wenye mahitaji makubwa kwa sasa ni wa chumba kimoja chenye huduma muhimu. Yaani kulala kupika na kuoga. Upangishaji wa pili ni kuongeza lounge/sebule labda na store.
Kwa eneo nililopo fremu ndio zina faida zaidi
 
Apartment ni nini?
Apartment n 1 chumba, fleti US ~

Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, known by its acronym TATAKI, is a research body dedicated to the research of the Kiswahili language and literature at the University of Dar es Salaam in Tanzania.
 
Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?

Msaada tafadhali
Kwa ulivyo ongeza sebule unapata apartment tatu(3) nzuri kabisa. Wewe uwe na kiwanja. Zikikamilika ukatafute pesa za TANESCO, Uzio na ujenzi wa mfumo wa maji taka.
 
Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?

Msaada tafadhali
Hazitoshi bro, labda kama unataka kujenga za miti na matope. Hiyo inatosha chumba na sebule tuu pamoja na choo cha nje
 
Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?

Msaada tafadhali
Mkuu kwema.
Naomba uwasiliane na UVIMO ambao Ni jumuia ya mafundi ili wakufanyie tathimini (BOQ) ya hyo pesa.
Hii itakupa majibu ya maswali yako yote.

Asante.

0629361896 - Kupiga
0753927572 - Wasap

IMG_20210520_124407_0.jpg
 
Akili yako imeishia hapo! mwanzo nimetoa hesabu ya apartment yenye one self bedroom with kitchen angalia ili ujue navuta nini? Kama umewahi kujenga na kusimamia utajua 17m inaweza jenga nyumba ngapi za size hiyo.
wewe ni mpumbavu. bila shaka ulikimbia hesabu shule hata hivyo Watu ambao hamjawahi kujenga au kusimamia ujenzi mna mawazo finyu sana

pata elimu hii ya uhalisia.
hiyo apartment unayosema hata iwe na chumba kimoja na sebule jiko na cho utahitaji tofali angalau 1600 kwa uchache ambapo kwa apartment nne ni tofali 6400. ukinunua kila tofali kwa sh 1000 gharama ya tofali zote ni 6,400,000. Katika 17Mil umebakiza 10.6mil

Ukisema ujibane sana kila aprtment mpaka finishing utumie nondo 12 tu kila nondo 18,000 mara aprtment nne ni sh 864000 umebakiwa na tsh9,73,600

cement ukitumia 1.5 ton yaani mifuko 30 mpaka finishing kwa kila apartment utatumia mifuko 120 ambayo kwa mfano ununue kwa 13,000 kila mfuko utatumia 1560000 inabaki 8176000. Gharama za ufundi kwa kila apartment hata ukiwapata mafundi wa bei ya chee kuanzia kuchimba msingi mpaka finishing haipungui 1500000 kwa kila apartment yaani 6mil....umebakiza 2,176,000

vifuatavyo bado hujakamili
Plumbing
electrification-vifaa na fundi
ceptic tank
mbao zote za kushikilia zege na za kuezekea
mabati
misumali
mchanga na kokoto
gharama ya usafirishaji wa matofali na vifaa vingine vya ujenzi kama neno,cement, mabati na mbao

.....NB: Hapo una kiwanja tayari
***************************************************
 
Back
Top Bottom