BabuKijiko
Member
- May 3, 2024
- 24
- 38
Maana kama jana Kuna muda Vodacom na halotel Internet ilikata Tigo ilikuwepo,usiku hivi Tigo ilikata nayo
nahisi kuna jambo ambalo linaendelea ila wanaficha kwa kumuhofia Waziri Nape
nahisi kuna jambo ambalo linaendelea ila wanaficha kwa kumuhofia Waziri Nape