Wadau msaada wenu tafadhali, I have a hard times

Wadau msaada wenu tafadhali, I have a hard times

Kwanza pole kwa kuwa na sura mbaya kama fenesi km ulivyojisema ww mwenyewe.

Jana ulituponda sana wanaume wa dar hatujui kutongoza kumbe ww wa mkoani pia ni wale wale domo zege.

Sasa kama unaishi mbagala rangi tatu wewe pia ni mwanaume wa dar na imekuwa vizuri ulivyopigwa kwa sababu utajifunza kuheshimu wanawake wa dar.

Trace kafanya vizuri sana kukutembeza dar angalau usafishe macho kwa kuvunja kabati jumamosi, unapokuwa dar jitahidi uwe mtanashati siku zote.

Elimu yako darasa la saba sikweli jf usingeiweza kutumia na kujadili hoja zake kisomi.

USHAURI:
Trace tuachie sisi wanaume wa dar tusiojua kitu chumbani tuliozoea kuwapa pesa wanawake wanaojiuza, ushukuru Mungu njemba zilikupiga tu coz zingekufanya kitu mbaya.

Usidharau wanaume wenzako kuwaona wadhaifu eti kisa wanaishi dar, wengine ni baba zako.

Jana ulituambia UKWELI USIWAUME BALI UWAPE FUNZO, na wewe leo ukweli usikuume bali ukupe funzo
 
Kwanza pole kwa kuwa na sura mbaya kama fenesi km ulivyojisema ww mwenyewe.

Jana ulituponda sana wanaume wa dar hatujui kutongoza kumbe ww wa mkoani pia ni wale wale domo zege.
1.sifikirii kuachana na trace nafikiri namna ya kuendelea nae
2.ukweli utabaki pale pale wazalamo ni wataakam wa kucheza bao na kukaa kwenye majamvi kupiga gumzo wavivu hatare ni genye tu ndio huwaamsha na kuwapeleka madanguroni

Haku hakuna waka 071kama nyie wazalamo

Nikiwa dar tabia zangu si za ki daslam ni za ki mbeya

Sasa kama unaishi mbagala rangi tatu wewe pia ni mwanaume wa dar na imekuwa vizuri ulivyopigwa kwa sababu utajifunza kuheshimu wanawake wa dar.

Trace kafanya vizuri sana kukutembeza dar angalau usafishe macho kwa kuvunja kabati jumamosi, unapokuwa dar jitahidi uwe mtanashati siku zote.

Elimu yako darasa la saba sikweli jf usingeiweza kutumia na kujadili hoja zake kisomi.

USHAURI:
Trace tuachie sisi wanaume wa dar tusiojua kitu chumbani tuliozoea kuwapa pesa wanawake wanaojiuza, ushukuru Mungu njemba zilikupiga tu coz zingekufanya kitu mbaya.

Usidharau wanaume wenzako kuwaona wadhaifu eti kisa wanaishi dar, wengine ni baba zako.

Jana ulituambia UKWELI USIWAUME BALI UWAPE FUNZO, na wewe leo ukweli usikuume bali ukupe funzo
 
Si umemalzia hapo upo tayari kufa sio umkose, sasa ushauri gani unataka fid q?
 
Back
Top Bottom