Wadau msaada wenu tafadhali, I have a hard times

Duh! Shigongo
 
[emoji121]
WEKA PICHA YENYE SAMARI.

[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Inawezekana ikawa ni kweli au story lakini mambo haya yanatokea. Kama ni kweli, Trace ana ,apenzi hya dhati kwako na hii inatokana na uungwana uliomfanyia. Aidha uzuri wa mtu si sura tu kwa taarifa yako mwanaume anaweza asivutie saana kisura lakini: caring, uungwana, kujali feelings, kujua kuhanlde mwamnamake mpaka sura yake ( physical ) inabadilika na kuna mwingine sura inavutia lakibi tabia yake mbaya ya say ukatili etec. mpaka sura yake inabadilika.
Aidha hamna kitu kama kibaya kama cha names huwa kinashusha saana confidence tujitahidi kuwajengea watoto wetu confidence kwa jisni walivyo wajiamini na kukuza qualities kadhaa za kuzidi kujenga confidence!
 
Shukrani saana mkuu umekuwa wa kwanza kuzielewa hisia zanga much thax mkuu
 


Kwa dunia ya sasa ni bora upate mwanaume mwenye tabia mbaya kuliko mzuri akakusumbua. Pia waweza mpata anasura mbaya lakini tabia ni nzuri hiyo ni bora. Kwa uzoefu wangu wewe ni bora kuliko walio wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…