Wadau, muwe mnanawa mikono kabla ya kuanza tendo

Ilishawahi kunitokea hii , nilikula pilipili wakati nanawa nafikiri haikuisha mikononi ile tunachezeana na demu nikamshika kwenye k , aliwashwa balaa sio kwa machozi yale na shughuli iliishia hapo
 
Pamekuwa pekunduuuuu chezea makange na pilipili weweeee
 
Mleta mada kazi kukosoa thread za wenzake mda wote kutafuta kikiπŸ˜€
angekuwa anajua angenawa jna maziwa inakata pilipili fastaπŸ˜€ kumbe ni mjinga pia. .
We unaona hapa kuna kick? Mi hata sikuwa najua hilo. Anyway, siwezi kukubishia mtaalamu.
 
Sio kula bila kunawa tu....
pia hutakiwi kula kabla hujaomba.... πŸ˜πŸ™ƒπŸ™Œ
 
Ungechomeka kitu mbele kwa mbele
 
So mkahairisha game?
Ilishawahi kunitokea hii , nilikula pilipili wakati nanawa nafikiri haikuisha mikononi ile tunachezeana na demu nikamshika kwenye k , aliwashwa balaa sio kwa machozi yale na shughuli iliishia hapo
 
Yaani kama imetokea hivyo. Namimina na sukari ndani? 😳😳😳 Maana iliingia hadi ndani.... Hatari sana.
Pilipili dawa yake sukari , siku nyingine usisahau hilooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…