Wadau mwendo gani mzuri safarini nisitumie mafuta mengi

Wadau mwendo gani mzuri safarini nisitumie mafuta mengi

Pia inategemea unaenda na gar gan ila naamin ukinipa homa ya jiji natoka dar saa kumi na mbili asbhi tukutane singida saa 6 na nusu then mwanza tutaonana saa kumi na dakika 35-50
 
Nenda speed 180
Utafika haraka
Ikiwezekana nenda speed kama paul walker kwenye fast & furoius.....
 
Mwendo kasi unaua....wewe nenda taratibu speed limit yako iwe ni 60...utafika na utakuwa umetumia mafuta yako vizuri kabisa...haya nenda salama
Hivi unapafahamu Mwanza kweli wewe? Si atafika baada ya wiki na atalazimika kutumia pesa nyingi kwenye kulala njiani na kwa ajili ya chakula?
 
Mkuu hakikisha usiendeshe chini ya 120 hapo utatumia mafuta ya 10000 dar to moro (jokes)
Sina uzoefu na magari nilipenda tu kuchangia uzi huu
Hata kama huna uzoefu, in most part uko sawa. Gari ya petrol ya ukubwa wa injini yake, speed kati ya 100 hadi 120 huwa na the lowest fuel consuption than all other ranges. Kwa speed hiyo atafanikiwa kutumia angalau masaa 14 kama anasafiri kutoka Dar to Mza bila kupumzika...
 
Nilienda Iringa toka Dar kwa IST 1.3L nilitumia mafuta ya elfu 40 tu.

Nilichojifunza, uendeshaji unakula sana mafuta tusizingizie gari.

Vitu vya kufanya:

1. Kwanza funga madirisha washa AC acha uwoga.
2. Usiwe na vituo vingi. Kwa 2.0L may be pumzika after every 400km.
3. Acceleration iwe ndogo. Usiondoke kwa vurugu. Yaani acha gari ichanganyie taratibu.
4. Speed nenda 80 to 110kph. Ila kwenye vibao vya 50kph viheshimu. Speed chini ya 80 inakula mafuta na above 120 inabwia mafuta unless una LC V8 4.6L
5. Ila kikubwa ni kua na light-foot. Usiwe na mguu mzito. I mean usikanyage mafuta kama vita. Gusa tu.
Masihara hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wamechagia poa kabisa but kikubwa ni wepesi wa mguu wako kwenye accelerator.Mf mimi nilitoka Iringa na GX90 Cresta baloon kuja Mwanza nilitumia lita 110 tu means ilikula 8.8 but nilikuwa naenda 80 -120kph na ilikuwa inaenda mpk 10.1 but ilipoanza mida ya torch kuisha nikawa natembea above 130kph ndo ikaleta hiyo 8.8,So ya safari ipo mikononi kwako plus nature ya barabara mf huwezi tembelea 120 km mvua inanyesha!! Tutakukuta mortuary my friend

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwendo kasi unaua....wewe nenda taratibu speed limit yako iwe ni 60...utafika na utakuwa umetumia mafuta yako vizuri kabisa...haya nenda salama
Hahahahhahahahhahahhaha

Itabidi atumie siku nne kwa huo Mwendo lakin ...atafika salama

Pox
 
Back
Top Bottom