Wadau mwendo gani mzuri safarini nisitumie mafuta mengi

Wadau mwendo gani mzuri safarini nisitumie mafuta mengi

kwanza inaonekana aunauzoefu na safari ndefu, unachokakiwa kuhakikisha unafanya sheria zote za BARABARA, kuwa makini na vibao na michoro yote ya rod, kama umechoka pata muda wa kupumzika. kwenye speed tembea spedi uliyoizoea (60 mpaka100) ANGALIZO: usitembee na spid ambayo aujaizoea Kwan Gari Inaweza kukushinda na kusababisha ajali
Kweli 60-100
Reasonable speed

Pox
 
Back
Top Bottom