Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara

Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara

Acha masihara mkuu?
Kwa maelezo yaliyopo shida sio Mr kuku, shida ni hujuma tu za wenye mamlaka, kama kitu kimefanyiwa uchunguzi wa awali na kuonekana kampuni haina shida kwanini msiachie waendelee kufanya kazi? Mwisho wa siku mali ya shambani itakufa yote kwa kukosa matunzo na hela za watu zitaishia juu kwa juu(wameshikilia account). Ni ngumu sana kuendelea nchi hii, jamaa kiukweli walikua wamejipanga, hata usipowekeza kwa pesa ukiwa mteja tu wa bidhaa zao kwa kununua kuku wengi na wewe kuuza walikua wanaokoa sana maana una uhakika wa kupata kuku kwa wakati bila longolongo.
 
Hunajua haya maswala yamenifungua akili na kuona kumbe kuna uwezekano ukabuni mradi worth a million of bucks na ukafanya fund raising kwa kigezo cha "wekeza uvune faida mara mbili"

Thats very possible...Nadhani kwa kutumia mwamvuli wa Mwanasheria tunaweza buni kitu aisee. Tukabuni mradi wenye loopholes za sisi kuchomoka hata ikibidi kwa kusingizia Bima flani au vipengele vya mkataba then unaenda launch kitu. There are alot of lazy guys with money that can easily be fetched through proper plans.

Yes inawezekana kabisa in future lazima nifanye hii kitu,watu pesa wanazo ila hawajui wawekeze wapi ukija na idea nzuri utapata watu mpaka ushangae
Nina experience na hizi kampuni na nimetulia nikafanya tafiti za marketing plan zao,zipo ambazo ni legit na nyingine ni utapeli
Hii Mr kuku ni utapeli
Value of your money in exchange of what?kama ukiwekeza laki 7 exchange yake unapewa nini?hakuna pesa rahisi uweke na utulie usubiri ijizalishe [emoji3][emoji3]nashangaa kwanini watu hawaoni huu ni utapeli
Mwanzoni lazima wawalipe ili kujenga uaminifu baadae wataondoka na hela za watu na hakuna pa kuwapeleka
 
Juzi kuna jamaa yangu kanipigia simu akawa ananieleza vitu sivielewi elewi.

Ni kitu kinaitwa Mr. Kuku Farms akidai ni mradi mkubwa wa ufugaji kuku una physical presence na ni kampuni iliosajiliwa ndio inaendesha huo mradi.

Yeye ameshawishika kuwekeza huko kwamba kuna faida nzuri compared na kuweka hela benki tu ikiwa baada ya miezi 3 unaweza draw 70% ya ulichowekeza na baada ya miezi sita una uwezo wa kuchota 100% ya pesa yako.

Kama tujuavyo kwamba mtu alieng'atwa na nyoka huwa haishi maseke hata anapotambaliwa na jani, basi lazma atarusha miguu tu.

Naomba kwa heshima na taadhima niambiwe na wadau wenzangu wajasiriamali kwa wafanyabiashara. Je, huu mradi ni halisi?

Ni business model gani wanatumia? Na je, kuna hiyo leverage ya kupelekea kutoa gawio kwa rates hizo kwa muda wanaodai wanaweza?

Kama kuna ambaye amepiga hela kupitia hao jamaa aje amwage terms zao na ushuhuda kuwa kapiga dough kweli.
Mzee Baba umeleta kitu chenyewe kabisa.
 
Watu bana, yaani jambo linaonekana tu kwa macho ya kawaida kua hii ni Ponzi Scheme au Pyramid Scheme mtu bado unajiuliza maswali mara mbili mbili?

Hao wenye hiyo kuku farm kwa nini wasiuze kila walichonacho na wawashawishi ndugu zao wauze kila walichonacho wawekeze kwenye hiyo project wapige hela wawe familia tajiri zaidi? Au unadhani hao jamaa wa kuku farm wanawapenda sana kuliko wanavyowapenda ndugu zao? Kwamba waone fursa wasiwaambie ndugu zao waje kuwambia nyie? Uliwahi kuona wapi?

Kila siku humu tunatahadharisha kua ukiona unaitwa kwenye deal ujue wewe ndie deal, ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndie fursa. Wazungu husema when the deal is too good think twice. Hakuna hela inapatikana kwa haraka hivyo.

Ilikuja D9, Deci, Qnet, One coin, sijui vitu gani watu wanapigwa kila siku lakini hawajifunzi.

Hao wa kuku farm wape muda mfupi utaona mada zao humu, ni jambo la muda tu.
Dah! naanza kupata picha kwa mbalii. Naona wale wa mwanzo watakula faida ili kuwavuta wengine.
 
Yes inawezekana kabisa in future lazima nifanye hii kitu,watu pesa wanazo ila hawajui wawekeze wapi ukija na idea nzuri utapata watu mpaka ushangae
Nina experience na hizi kampuni na nimetulia nikafanya tafiti za marketing plan zao,zipo ambazo ni legit na nyingine ni utapeli
Hii Mr kuku ni utapeli
Value of your money in exchange of what?kama ukiwekeza laki 7 exchange yake unapewa nini?hakuna pesa rahisi uweke na utulie usubiri ijizalishe [emoji3][emoji3]nashangaa kwanini watu hawaoni huu ni utapeli
Mwanzoni lazima wawalipe ili kujenga uaminifu baadae wataondoka na hela za watu na hakuna pa kuwapeleka
Umesema Point
 
Njoo tuungane bas kamwali, huenda
Yes inawezekana kabisa in future lazima nifanye hii kitu,watu pesa wanazo ila hawajui wawekeze wapi ukija na idea nzuri utapata watu mpaka ushangae
Nina experience na hizi kampuni na nimetulia nikafanya tafiti za marketing plan zao,zipo ambazo ni legit na nyingine ni utapeli
Hii Mr kuku ni utapeli
Value of your money in exchange of what?kama ukiwekeza laki 7 exchange yake unapewa nini?hakuna pesa rahisi uweke na utulie usubiri ijizalishe [emoji3][emoji3]nashangaa kwanini watu hawaoni huu ni utapeli
Mwanzoni lazima wawalipe ili kujenga uaminifu baadae wataondoka na hela za watu na hakuna pa kuwapeleka
tukawa mfano wa kuigwa 🤣🤣🤣
 
Kwa maelezo yaliyopo shida sio Mr kuku, shida ni hujuma tu za wenye mamlaka, kama kitu kimefanyiwa uchunguzi wa awali na kuonekana kampuni haina shida kwanini msiachie waendelee kufanya kazi? Mwisho wa siku mali ya shambani itakufa yote kwa kukosa matunzo na hela za watu zitaishia juu kwa juu(wameshikilia account). Ni ngumu sana kuendelea nchi hii, jamaa kiukweli walikua wamejipanga, hata usipowekeza kwa pesa ukiwa mteja tu wa bidhaa zao kwa kununua kuku wengi na wewe kuuza walikua wanaokoa sana maana una uhakika wa kupata kuku kwa wakati bila longolongo.
Natanguliza pole on behalf of wawekezaji!
 
Kwa maelezo yaliyopo shida sio Mr kuku, shida ni hujuma tu za wenye mamlaka, kama kitu kimefanyiwa uchunguzi wa awali na kuonekana kampuni haina shida kwanini msiachie waendelee kufanya kazi? Mwisho wa siku mali ya shambani itakufa yote kwa kukosa matunzo na hela za watu zitaishia juu kwa juu(wameshikilia account). Ni ngumu sana kuendelea nchi hii, jamaa kiukweli walikua wamejipanga, hata usipowekeza kwa pesa ukiwa mteja tu wa bidhaa zao kwa kununua kuku wengi na wewe kuuza walikua wanaokoa sana maana una uhakika wa kupata kuku kwa wakati bila longolongo.
Hata biashara uione nzuri kiasi gani, kama haizingatii sheria basi ni haramu.

Nenda popote Duniani, hakuna biashara inafanywa kwa namna hiyo na ikitokea inafanywa basi haiwi tena biashara inakuwa ni ponzi scheme (upatu). Ambapo nchini Tanzania upatu ni haramu.

Kwahiyo wewe msikitikie vyovyote unavyotaka, ila biashara zote zinafanywa kwa kuzingatia sheria za nchi. Kama huyo Mt. Kuku alikuwa anahitaji mitaji ya watu ili akuze biashara yake, alipaswa kujisajili kwenye soko la hisa ili hao watu wake wampelekee pesa zote anazotaka. Ila sio ujanja ujanja tu wa kupokea pesa kutoka kwa watu bila kujua pesa hizo zimepatikana vipi.
 
Back
Top Bottom