Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
- Thread starter
- #101
Pesa hizo watu wanazitolea mate kila mtu Nipm Nipm tafuta zako na wewe tukuPM mtu kaomba ushauri hapa hadharani jitu linakuja Nipm.
Kuku kweli.
Pole mkuu, usikasirike ni kawaida sana kwa binadamu kutofautiana kimawazo.
Japo unachosema ni kweli kabisa, tena dunia hii ya sasa ni hatari, ni vigumu kumjua mwenye nia njema na mbaya!