Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
- Thread starter
-
- #101
Pesa hizo watu wanazitolea mate kila mtu Nipm Nipm tafuta zako na wewe tukuPM mtu kaomba ushauri hapa hadharani jitu linakuja Nipm.
Kuku kweli.
Hahahaaa, kuna watu mna maudhi ! Haya tufanye kashinda biko, mshauri sasa.KIPINDI HIKI UMETOA WAPI HIYO HELA
unajua nilishtuka kidogo nipate presha! namshauri kama yupo Dar atumie kama laki tano kule mkuranga anunue eka moja.shs mil moja achimbe kisima cha mkono,laki tano tenki la maji la lita 5000 na laki tano anunue pampu na aanze biashara ya kilimo cha matikiti kila baada ya miezi mitatu atakuwa anaingiza hela za uhakika.wanunuaji huwa wanakufuata shambani wewe waletee madalali pale kariakoo sample tu tikiti moja.ATUMIE MILIONI TANO TU KWANZA NA HIYO NYINGINE TANO AWEKE FIXED KWA MIEZI MITATU BENKI AKISIKILIZIA BIASHARA YA TIKITI KWANZA KUPATA UZOEFU WA KILIMO NA BIASHARA.Hahahaaa, kuna watu mna maudhi ! Haya tufanye kashinda biko, mshauri sasa.
Uulize uambiwe usichokijua,Mhh mil 5... hivi hizi details mnazoleta hapa za kweli jamani au story tu.
Nitaftee nkupe bussnes plan kijana japo ni garama kidogoHabari wanajukwaa.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuomba wazo la biashara ambayo ninaweza kufanya kwa DSM au kwingine, ila pia iweze kuajiri watu wanaonitegemea, kama 4 hivi kwa kuwa maswala ya ajira yamekuwa pia ngumu. Kama nilivyosema mtaji kwa sasa ninayo 10-15milion, lakini pia biashara kama itaanza vizuri naweza kukopa kuongezea mtaji.
Ningependelea biashara ambayo inaweza kuwa na mzunguko wa haraka lakini pia kwa usimamizi sioni tatizo kwa kuwa tayari ninao watu. Nimefikiria muda mrefu kidg sijapata wazo zuri na productive.
Kama kuna sehemu naweza kupata hata maelekezo ya namana kuanzisha biashara kwa vitendo naweza kwenda.
Naombeni msaada jamani kweli hili nipo serious siyo utani. Samahani pia pengine wazo langu sijaliweka vizuri kwa kuwa mie si mwandishi mzuri pia.
Natanguliza shukrani!
Hizo ten nikopeshe Mimi kwa muda wa Siku 90 nitakurudishia 15 na Mimi nitachukua ten zangu.Habari wanajukwaa.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuomba wazo la biashara ambayo ninaweza kufanya kwa DSM au kwingine, ila pia iweze kuajiri watu wanaonitegemea, kama 4 hivi kwa kuwa maswala ya ajira yamekuwa pia ngumu. Kama nilivyosema mtaji kwa sasa ninayo 10-15milion, lakini pia biashara kama itaanza vizuri naweza kukopa kuongezea mtaji.
Ningependelea biashara ambayo inaweza kuwa na mzunguko wa haraka lakini pia kwa usimamizi sioni tatizo kwa kuwa tayari ninao watu. Nimefikiria muda mrefu kidg sijapata wazo zuri na productive.
Kama kuna sehemu naweza kupata hata maelekezo ya namana kuanzisha biashara kwa vitendo naweza kwenda.
Naombeni msaada jamani kweli hili nipo serious siyo utani. Samahani pia pengine wazo langu sijaliweka vizuri kwa kuwa mie si mwandishi mzuri pia.
Natanguliza shukrani!
Mkuu nitakuchekUulize uambiwe usichokijua,
Aisee siku 90.!! We unaenda pigia mishe ganHizo ten nikopeshe Mimi kwa muda wa Siku 90 nitakurudishia 15 na Mimi nitachukua ten zangu.
Mkuu its a lot of money kama hujawai kufanya biashara,ushauri wangu tumia nusu au robo ya pesa kuanzia kwani kwa uzoefu wangu mdogo(nina miezi sita tokea nianze biashara) huwa hiviHabari wanajukwaa.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuomba wazo la biashara ambayo ninaweza kufanya kwa DSM au kwingine, ila pia iweze kuajiri watu wanaonitegemea, kama 4 hivi kwa kuwa maswala ya ajira yamekuwa pia ngumu. Kama nilivyosema mtaji kwa sasa ninayo 10-15milion, lakini pia biashara kama itaanza vizuri naweza kukopa kuongezea mtaji.
Ningependelea biashara ambayo inaweza kuwa na mzunguko wa haraka lakini pia kwa usimamizi sioni tatizo kwa kuwa tayari ninao watu. Nimefikiria muda mrefu kidg sijapata wazo zuri na productive.
Kama kuna sehemu naweza kupata hata maelekezo ya namana kuanzisha biashara kwa vitendo naweza kwenda.
Naombeni msaada jamani kweli hili nipo serious siyo utani. Samahani pia pengine wazo langu sijaliweka vizuri kwa kuwa mie si mwandishi mzuri pia.
Natanguliza shukrani!