Wadau naomba wazo la biashara, nina mtaji wa 10M-15M


good idea.ila nipo Dar mkuu
 
Mkuu, fungua biashara ya mgahawa wa chakula, uwe msafi na chakula kizuri, customer care iwe mzuri. Jina ulite Dr.Shika best food, Dr. Shika uramchangia 30 kila mwezi za kutumia jina lake. Ukitoka unikumbuke kwenye mafanikio yako
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Akili nyingi sana,"Dr.Shika best food
 
Hizo kuni huwa zinapatikana wapi mkuu?na wateja wako ni watu gani?imekaa powa sana
 
Ukiwa kianzio cha mtaji wa kiasi gani labda
 
kama unaweza kazi nakushauri uanzishe biashara ya viazi ulaya. Milioni tano tu inatosha kuanzia biashara. Bei ya shamba polo ndogo ni 20000 mpaka 25000. Bei ya sokoni ni 35 mpaka 45 inategemeana na mazingira ya soko kwa siku husika.
Tutafune kaka naitaka hii biashara sana
 
Ulifanikiwa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…