Wadau naomba wazo la biashara, nina mtaji wa 10M-15M

Wadau naomba wazo la biashara, nina mtaji wa 10M-15M

Mkuu mi nakushauri izo pesa wekeza kwenye elimu hutojutia
Ayo mamilioni yanatosha kabisa kukusomesha mpaka masters na
hapa huwezi kosa mshahara wa mil4 kwa mwezi
Hahah ajira,ajira,ajira
 
nikama mtu ana nyumba yake alafu anatafuta mtu wakumpangia namna yakuishi kwenye nyumba yake, wa bongo wavizu sana
 
Shs 4,635,000 sawa na $2,060 wekeza kwenye biashara ya sarafu Bitcoin ktk kampuni ya Bitclub Advantage. Kifurushi hiki ukijiunga unalipwa kwa siku $30.78 sawa na Shs.69,255 kila siku au Shs.346,320 kwa wiki, au Shs.1,523,835 kwa mwezi. Unaingia mkataba wa mwaka mzima. Na faida utakayorudishiwa kwa package hii, yaani Return on Investment(ROI)=300% i.e($5,997=Shs.13,493,250/-. Ndani ya miezi minne hela yako uliyoweka inakuwa imesharudi.
 
Shs 4,635,000 sawa na $2,060 wekeza kwenye biashara ya sarafu Bitcoin ktk kampuni ya Bitclub Advantage. Kifurushi hiki ukijiunga unalipwa kwa siku $30.78 sawa na Shs.69,255 kila siku au Shs.346,320 kwa wiki, au Shs.1,523,835 kwa mwezi. Unaingia mkataba wa mwaka mzima. Na faida utakayorudishiwa kwa package hii, yaani Return on Investment(ROI)=300% i.e($5,997=Shs.13,493,250/-. Ndani ya miezi minne hela yako uliyoweka inakuwa imesharudi.
Nicheck kwa namba hii 0629 057864 nikuelekeze namna ya kujiunga na hii Bitclub Advantage kama wazo umelipenda, maana ndiyo habari ya mjini sasa.
 
Biashara ya mazao,mfano ufuta,dengu,karanga,mbaazi,choroko,dengu,alizet na korosho.Hii ina mzunguko mwaka mzima,unatoa vijijini unauza kwenye magodauni ya Wahindi Dar.Kwa maelezo zaidi nipigie 0713 963812 au tembelea page yangu Makaratas Grains & Nuts LTD huko fb.
 
Mkuu nicheck via 0717425183 for professional business consultancy. Tutakushauri wazo zuri la kufanya na kukuandalia professional business plan. Karibu Arcadia Consulting Ltd
 
Biashara huanza na wazo lako binafsi, ikifuatiwa na uthubutu.
Biashara ya kuanzisha na kupata faida papo hapo cjawahi kuisikia duniani biashara lazima uwe risk taker ili ufanikiwe na hapa utapata mawazo mbali mbali ila kumbuka miruzi mingi humpoteza mbwa.
Kwa nature ya Uzi wako na majibu yako inaonyesha hauna muamko sana wa biashara wala wazo LA biashara ambalo liko kamili. Jaribu kutulia kwanza ufikirie ww unapenda kitu gani ndy uanzishe biashara.
Kama huwezi basi wekeza kwenye money services mf m pesa na Tigo pesa pamoja na betting vitakupa mwanga wapi uelekee
 
Mkuu mi nakushauri izo pesa wekeza kwenye elimu hutojutia
Ayo mamilioni yanatosha kabisa kukusomesha mpaka masters na
hapa huwezi kosa mshahara wa mil4 kwa mwezi
Mbona unamawazo ya kizamani sana mkuu. mtu anataka kujiajiri we unamwambia akasome ili aajiriwe. Not this world
 
Biashara ya kuku wa kienyeji inalipa sana. Nina order kubwa kuliko mtaji wangu. njoo DM if interested
 
Jenga ranch sehemu nzuri yenye maji nunua ngombe wapandishe thamani tafuta soko la mifugo utapiga hela[emoji386] [emoji387] [emoji384] [emoji385] [emoji383]
 
Hizo pesa umezipata katika mazingira gan
Kamali
Biko
Kubet au
Mikopo kwenye taasis za fedha
Ukifungua biashara mwanzoni kama huna kazi ni vizur ukasimamia mwenywe usimuamini MTU lengo la kufany hivyo ni kujua loss and profits and how to control the business
Kama umechukua mkopo na hauna MTU wa kukufanyia close supervission weka pesa yako kwa fixed account mpaka utakpo pata MTU mwelewa mtakae gawana nae faida
Biashara aichukulie kama yake
Hapo kweli... Kwasababu wakati mwingine wazo LA mtu nivigumu kuliwekwzea inavyo takiwa ukpata mtu mwenye wazo zuri ongea nae I like muwekeze wote na muilinde vision... Think bigger.. Ecommerce for long term pays.... Million 15 ni pesa kubwa invest it for long term.
 
Jenga ranch sehemu nzuri yenye maji nunua ngombe wapandishe thamani tafuta soko la mifugo utapiga hela[emoji386] [emoji387] [emoji384] [emoji385] [emoji383]
Hapa wanenepeshe Kwa majani na vyakula vya ziada watajazia mawowo bei yao itapanda sana
 
Jenga ranch sehemu nzuri yenye maji nunua ngombe wapandishe thamani tafuta soko la mifugo utapiga hela[emoji386] [emoji387] [emoji384] [emoji385] [emoji383]
Hapa wanenepeshe Kwa majani na vyakula vya ziada watajazia mawowo bei yao itapanda sana
 
unajua nilishtuka kidogo nipate presha! namshauri kama yupo Dar atumie kama laki tano kule mkuranga anunue eka moja.shs mil moja achimbe kisima cha mkono,laki tano tenki la maji la lita 5000 na laki tano anunue pampu na aanze biashara ya kilimo cha matikiti kila baada ya miezi mitatu atakuwa anaingiza hela za uhakika.wanunuaji huwa wanakufuata shambani wewe waletee madalali pale kariakoo sample tu tikiti moja.ATUMIE MILIONI TANO TU KWANZA NA HIYO NYINGINE TANO AWEKE FIXED KWA MIEZI MITATU BENKI AKISIKILIZIA BIASHARA YA TIKITI KWANZA KUPATA UZOEFU WA KILIMO NA BIASHARA.
Salute!! Kuwekeza m10 zote kwenye biashara mpya sio wise Sana.
 
Back
Top Bottom