Wadau nataka nikamate kitu Corola X, ushauri

Wadau nataka nikamate kitu Corola X, ushauri

Wadau wote mnaotoa michangongo yenu kunisaidia kimawazo mimi Kabwela "Common Man" nawashukuru sana.Ila bado naona kama ushauri wa kitaalam sana sijapata.Ndugu zangu wengine nwanapota tu hapa hata hawatupii chochote.Jamani sadaka siyo mpakanupeleke kwa nabii.Ukitoa mawazo yako hapa ni sadaka tosha na Mungu atakubariki.
 
Wadau wote mnaotoa michangongo yenu kunisaidia kimawazo mimi Kabwela "Common Man" nawashukuru sana.Ila bado naona kama ushauri wa kitaalam sana sijapata.Ndugu zangu wengine nwanapota tu hapa hata hawatupii chochote.Jamani sadaka siyo mpakanupeleke kwa nabii.Ukitoa mawazo yako hapa ni sadaka tosha na Mungu atakubariki.
Wanasema toyota yoyote ambayo ni Corolla sio ya kujiuliza mara mbili....

Corolla x a.k.a Corolla Police ni gari nzuri kufuatia status yako ya "Common man" kwa kuwa vipuri vipo vinapatikana sana lakini la muhimu zaidi ni kwamba hii gari ina injini yetu pendwa ya 1NZ-FE hivyo kuhusu mafuta kama "Common man" ni kawaida tu.

Usisikilize watu wanaosema "ni ya zamani" bro...ukisikiliza raia utaendelea kuwa mwana wa Israel.
 
Wanasema toyota yoyote ambayo ni Corolla sio ya kujiuliza mara mbili....

Corolla x a.k.a Corolla Police ni gari nzuri kufuatia status yako ya "Common man" kwa kuwa vipuri vipo vinapatikana sana lakini la muhimu zaidi ni kwamba hii gari ina injini yetu pendwa ya 1NZ-FE hivyo kuhusu mafuta kama "Common man" ni kawaida tu.

Usisikilize watu wanaosema "ni ya zamani" bro...ukisikiliza raia utaendelea kuwa mwana wa Israel.
Nashukuru kwa ushauri wako.
 
Mie nataka ka Ist au ka vtz nijifunzie maisha ya kuendesha gari.Mwenye nako jamani
Watu wakusave bajeti,
..njoo tukuuzie aka kasuzuki alto
 

Attachments

  • 20240519_193400.jpg
    20240519_193400.jpg
    138.2 KB · Views: 12
Ndugu yangu ngoja nikuoe experience,kama haujawahi kumiliki gari,unakuwa na mihemko mingi sana.Unachowaza ni kununua kagari kadogo,kenye engine ndo ka kuanzia maisha.Shida inakuja,unapoanza kuyaelewa magari,unapokuja kuelewa umuhimu wa engine yenye nguvu.Na ile misisimko inaanza kuisha,utaona tukari tudogo dogo ni tukopo.Utakuja kutamanai angalau gari la wastani.
Kuwa makini sana kununua gari la kwanza,epuka kabisa tugari tudogo dogo kama tu toy.
 
Ndugu yangu ngoja nikuoe experience,kama haujawahi kumiliki gari,unakuwa na mihemko mingi sana.Unachowaza ni kununua kagari kadogo,kenye engine ndo ka kuanzia maisha.Shida inakuja,unapoanza kuyaelewa magari,unapokuja kuelewa umuhimu wa engine yenye nguvu.Na ile misisimko inaanza kuisha,utaona tukari tudogo dogo ni tukopo.Utakuja kutamanai angalau gari la wastani.
Kuwa makini sana kununua gari la kwanza,epuka kabisa tugari tudogo dogo kama tu toy.
Usimdanganye mwenzako. Gari dogo au kubwa inategemea na uwezo wako wa kumiliki gari husika. Uzoefu pekee hauthiri choice yako ya gari kubwa au dogo. Kikubwa ni uwezo wa kumiliki ana mazingira mtu anayoendeshea hilo gari. Pamoja na kuwa zipo gari ndogo zina engine kubwa, nyingi huwa zina engine ndogo na zipo nyingi kati ya hizo ambazo nguvu yake inatosha hasa kwa matumizi ya safari fupi fupi. Kwa ujumla, Gharama ya mafuta, service na maintenance costs pia huwa chini kwa gari ndogo kuliko gari kubwa (zipo exceptions).
Kwa kifupi amiliki gari anayoweza kuimudu leo, na inayoweza kumfaa.
 
Usimdanganye mwenzako. Gari dogo au kubwa inategemea na uwezo wako wa kumiliki gari husika. Uzoefu pekee hauthiri choice yako ya gari kubwa au dogo. Kikubwa ni uwezo wa kumiliki ana mazingira mtu anayoendeshea hilo gari. Pamoja na kuwa zipo gari ndogo zina engine kubwa, nyingi huwa zina engine ndogo na zipo nyingi kati ya hizo ambazo nguvu yake inatosha hasa kwa matumizi ya safari fupi fupi. Kwa ujumla, Gharama ya mafuta, service na maintenance costs pia huwa chini kwa gari ndogo kuliko gari kubwa (zipo exceptions).
Kwa kifupi amiliki gari anayoweza kuimudu leo, na inayoweza kumfaa.
Mtanzania mwenzangu,kumradhi.Niliposema gari dogo.Nilimaanisha vile vigari vyenye viumbo vidogo vidogo na tu engine tu dogp Cc 600 hadi 900.Ila kimsingi gari la Cc 1290 hadi Cc 1999 bado nalo ni gati dogo.
Kimsingi angalau anynue garindogo la Cc kati ya 1290 na 1990 hapo angalau atapata e,perience nzuri na litamfaa kwa mazingira mengi.Kuliko tu tiny cars.
Hivyo uliyoyaongea ni kweli kabisa ila hoja yangu ilikuwa hiyo.
 
Mtanzania mwenzangu,kumradhi.Niliposema gari dogo.Nilimaanisha vile vigari vyenye viumbo vidogo vidogo na tu engine tu dogp Cc 600 hadi 900.Ila kimsingi gari la Cc 1290 hadi Cc 1999 bado nalo ni gati dogo.
Kimsingi angalau anynue garindogo la Cc kati ya 1290 na 1990 hapo angalau atapata e,perience nzuri na litamfaa kwa mazingira mengi.Kuliko tu tiny cars.
Hivyo uliyoyaongea ni kweli kabisa ila hoja yangu ilikuwa hiyo.
Kwa hoja hiyi naweza kukubali kiasi kwa sababu mimi mwenyewe nishawahi kumiliki gari ya cc990 na siwezi kurudi huko. Kama ni vitz, oasso nitatafuta ya kuanzia cc1300. Ila kama uwezo wake si mkubwa asiende engine zinazozidi cc1800
 
Tofauti na hiyo Corolla X na hizo ulizotaja kuwa huwezi ku afford ni body tu.
 
Ndugu yangu ngoja nikuoe experience,kama haujawahi kumiliki gari,unakuwa na mihemko mingi sana.Unachowaza ni kununua kagari kadogo,kenye engine ndo ka kuanzia maisha.Shida inakuja,unapoanza kuyaelewa magari,unapokuja kuelewa umuhimu wa engine yenye nguvu.Na ile misisimko inaanza kuisha,utaona tukari tudogo dogo ni tukopo.Utakuja kutamanai angalau gari la wastani.
Kuwa makini sana kununua gari la kwanza,epuka kabisa tugari tudogo dogo kama tu toy.
Mtu ananunua gari la engine kubwa wakati kipato tia maji si ndo mwanzo wa kuwa analitoa weekend daily anapanda daladala.
Bora mtu anunue kagari kadogo kanakoendana na uwezo wa kukahudumia ili akatumie kila siku. Maisha yakikaa sawa atauza anunue hilo kubwa.
 
Back
Top Bottom