Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kila la kheril(Sasa i
Naingianaje na kuisha bila magoli Mimi nianchotaka ni madrid awin hata kama penati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheril(Sasa i
Naingianaje na kuisha bila magoli Mimi nianchotaka ni madrid awin hata kama penati
PamojaKila la kheri
Arsenal sijawahi kumuamini kwenye kuweka pesa nyingi acha ashinde tuOngeza hapo Arsenal anashinda gemu ya mwisho. Pamoja na bayern levakusen atashinda dhidi ya atalanta hizo ni odds za bure. Gemu ya city vs westham nawasiwasi nayo japo city atashinda
Kama wao ndio wanaocheza uwanjani sawaNi kosa kubwa sana mkeka wako kupitiwa na macho ya watu hasa watanzania na waafrika kwa ujumla. Watu wamejawa wivu, kijicho, na roho mbaya. Kuweka tu hapa tayari watu watataka usifanikiwe na uliwe ili waseme kuwa umeona tulikwambia achana na kubet kanunue shamba kijijini.
1.4m ndio nakula full yaani mpaka Kodi imeshakatwa hapoMkuu ukiweka hiyo 900k unakula ngapi , na mimi nijitose ?
Pamoja sanaWeka tuko pamoja ukiliwa temeliwa wote, ukila umekula peke yako
Huna lolote wewe ni mjinga tu. Na huo mkeka unachanika, kati ya man u au dortmund kuna mmoja anaalibu shughuli hapo, game ya fainali watu wanapambana kwa jasho na damu sio ya kuichukulia poaSina tamaa mzee mechi nimeziona ila zangu ni hizo zinanitosha
Tafuta pesa mzee naona kichwani umedata sababu ya njaa Sasa hivi machizi hawaajiliwi mzee nenda kaokote makopo utatafuta sana ajira na haupati🤣🤣🤣🤣Huna lolote wewe ni mjinga tu. Na huo mkeka unachanika, kati ya man u au dortmund kuna mmoja anaalibu shughuli hapo, game ya fainali watu wanapambana kwa jasho na damu sio ya kuichukulia poa
Wapi mbuzi 50k???Mbuzi mmoja elfu 50,000.gawqnya kwa laki 900,000 unapata mbuzi wangapi?
Wewe kapuku tu haujui kubet wala hauna jeuri ya kuweka stake ya 900k unachangamsha genge tu hapa., wanaoweka stake ndefu huwa hajitangazi wana uhakika na chaguzi zao kwaiyo mpaka kufikiria ku-stake parefu ashafanya uchambuzi wa kina hana haja na mawazo ya wengine. Hakuna gamble hapa hata iyo screenahot sio akaunti yako umetoa tu mitandaoniTafuta pesa mzee naona kichwani umedata sababu ya njaa
Sawa wewe ndio unaweza kustake ila njaa mbaya sana unamchukia mtu ambaye humjui endelea kutafuta ajira mzee haya hiyo nimescreeshot Sasa hivi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe kapuku tu haujui kubet wala hauna jeuri ya kuweka stake ya 900k unachangamsha genge tu hapa., wanaoweka stake ndefu huwa hajitangazi wana uhakika na chaguzi zao kwaiyo mpaka kufikiria ku-stake parefu ashafanya uchambuzi wa kina hana haja na mawazo ya wengine. Hakuna gamble hapa hata iyo screenahot sio akaunti yako umetoa tu mitandaoni
[emoji23][emoji23]Huna lolote wewe ni mjinga tu. Na huo mkeka unachanika, kati ya man u au dortmund kuna mmoja anaalibu shughuli hapo, game ya fainali watu wanapambana kwa jasho na damu sio ya kuichukulia poa
Hahahahahaha njaa mbaya sanaa unaweza ukamchukia mtu usie mjua🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23]
Aisee
Umaskin mbaya.
Weka iyo stake dortmund akushangaze. Real madrid anapigwa iyo game wale wajerumani wanacheza kwa nidhamu sana wakishikilia bomba mpaka penati lolote linaweza kutokea hata iyo fainal ya fa man u akiwa amekamilika usishangae man city akakalishwaSawa wewe ndio unaweza kustake ila njaa mbaya sana unamchukia mtu ambaye humjui endelea kutafuta ajira mzee haya hiyo nimescreeshot Sasa hivi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani wakinishangaza wewe unapungukiwa nini si ni yangu mzee au njaa zinakufanya unadata ajira hamna unaleta hasira kwangu kwani Mimi ndio ccm ukiona maisha magumu achana nayo tu jirushe barabarani asubuhi Sauli ikiwa inapita morogoro road🤣🤣🤣🤣🤣🤣Weka iyo stake dortmund akushangaze. Real madrid anapigwa iyo game wale wajerumani wanacheza kwa nidhamu sana wakishikilia bomba mpaka penati lolote linaweza kutokea hata iyo fainal ya fa man u akiwa amekamilika usishangae man city akakalishwa
Hakuna anaekuchukia shida yako una mawazo ya kimasikini kumiliki 900k unaona ni mafanikio makubwa ya kuchukiwa na wengine. Umeleta mkeka kuomba ushauri cha kushangaza anaekushauri tofauti unamtolea lugha ya kejeli sasa kama ulikua na uhakika na mkeka wako si ungelipia tu bila kutaka ushauri wa wengine. Nimekushauri vizuri iyo stake ni kubwa kukaa kusubiri game za wiki 3 halafu mbili kati ya izo ni fainali, fainali watu wanapambana sana usichukulie poa game ya fainali, ndio maana nikakwambia iyo stake weka jpl kuna crucial games nyingi sana, timu kama arseanl, man city, atletico hata lyon kule ufaransa ni lazima washinde. Punguza show-offs dogo 900k sio pesa ya kuvimbia watuM
Kwani wakinishangaza wewe unapungukiwa nini si ni yangu mzee au njaa zinakufanya unadata ajira hamna unaleta hasira kwangu kwani Mimi ndio ccm🤣🤣🤣🤣🤣🤣