Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo ni hela yako na hatuwezi kukupangia ila kusubiria wiki3 upate faida kama iyo naona kama ni ku risk sana wakati weekend kuna game nyingi nzuri mfano nenda Ligi ya Czech republic ...salvia Praha na sparta praha wanagombania kombe wamepishana kwa point 3 wote awo weekend wanashinda..
Pamoja sanaHha unaomba ushauri huku tayari ushaandaa maamuzi yako..
We jilipue tu kama pesa niyako muhimu kufanikiwa tu wengine tulishakimbia
Mjaze tu, Leverkusen jana kapita na hela za watu sio poa.Weka mkuu usijivunge, kwa kuongeza kuna fainali ya DFB Pokal ujerumani pale kampe leverkusen, tia mpunga, kama huna mashaka kuna vioddsvya uhakika hapa kati weka chukua mpunga.
Mie nilitaja fainali ya DFB POKAL, subiri afungwe huko ndio uje unibishie.Mjaze tu, Leverkusen jana kapita na hela za watu sio poa.
Ame edit mada yake😂😂😂 Kamari si kwa kila mtu, Kiko wapi? 900k fyuuuuu! Chezea mhindi
Nimeshangaa sana, mtu anaweka rehani laki saba na ushee hili apaye faida ya 40,000/= kama ni hivyo kwani asifungue saccos tu huko mtaani kwao awe anakopesha watu kwa riba ya 5% ambapo kwa kufanya hivyo hatakuwa na wasi wasi wowote ule kama ilivyo sasa hivi mkeka unaweza ukachanikaWe jamaa fala kweli yaan unastake 750k ili upate 790k, ungekua karibu yangu ningekutandika makofi.
Nilikutaarifu mapema mdogo angu, mechi ya fainali usiichukulie poa watu wanapambana kufa na kupona. Next time uwe unasikiliza wakubwa zakoHuna lolote wewe ni mjinga tu. Na huo mkeka unachanika, kati ya man u au dortmund kuna mmoja anaalibu shughuli hapo, game ya fainali watu wanapambana kwa jasho na damu sio ya kuichukulia poa
Sure mzee ulimpa tahadhali kiungwana kabisa yeye akaishia kutukana tu ila wewe hukujibu matusi yake.Nilikutaarifu mapema mdogo angu, mechi ya fainali usiichukulie poa watu wanapambana kufa na kupona. Next time uwe unasikiliza wakubwa zako
Ulimtaarifu nani mjomba hii ni betting naijua kuliko unzvyooijua wewe kuliwa kawaida hata kama sio fainali unaliwa tu usijifanye mjuaji kumbe huna lolote pesa bado ipo na imezidi hiyo hapoNilikutaarifu mapema mdogo angu, mechi ya fainali usiichukulie poa watu wanapambana kufa na kupona. Next time uwe unasikiliza wakubwa zako
Pesa ipo na imeongezeka wewe yaani mlikaa mkategemea niweke Ili ni liwe hahahaha naijua betting kuliko mnavyoijua na pesa imeongezeka 🤣🤣🤣🤣🤣Sure mzee ulimpa tahadhali kiungwana kabisa yeye akaishia kutukana tu ila wewe hukujibu matusi yake.
Big Up [emoji109]